FT: Yanga SC 5-0 Jamhuri SC | Mapinduzi Cup | Aman Complex | 31.12.2023

Vincenzo Jr

JF-Expert Member
Sep 23, 2020
12,139
25,412
Yanga tunajiandaa kuwakabili Jamhuri SC muda ni saa 2:15 usiku.
mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
20231231_002943.jpg
Wafungaji Ngushi 10', 17', Kibwana 22', Mzize 38', Skudu 45'
 
Usisahau kuweka na picha za vikosi vilivyowasili hapo Zenji

Huwenda nikamuona tena mwanetu Kambole maana ndio msimu wake huu, tukikosa nafasi ya kumuona hapa itabidi tusubiri tena Mapinduzi Cup ya 2024.

So weka concentration kwa wachezaji waliovaa cap. Maana mwanetu anapenda kuvaa cap na muda mwingi anaangalia chini pale anapoona journalists wamemkaribia.
 
Mechi ya leo asipoanza Mkude basi kocha atakuwa ameniacha na maswali mengi sana

Kwasababu hata Makolo walipomuacha Mkude walimpa nafasi ya yeye kuamua hatima yake.

Nafasi hiyo ilikuwa kwenye mashindano haya ya Mapinduzi but the guy didn't shine

Na ndio hapo mashabiki wakapata na hasira wakawaita wachezaji ni madunduka maana walikuwa wakicheza chini ya kiwango.

Sitaki kuamini kama Mkude akipewa nafasi leo atacheza kiwango kile cha msimu wa jana kwenye haya mashindano.

Lazima ajitume kuonesha ile ya mwaka jana ilikuwa ni bahati mbaya. Lazima ajitume ili kuwanyima sababu watu watakaosema kuwa "tuliwaambia kuwa hana uwezo" pindi tu atapocheza chini ya kiwango.
 
Juzi nimeuliza swali sijajibiwa, kwanini Yanga imekuwa inamzuia Mzize asijiunge timu ya taifa na sheria zinasemaje pale mchezaji anapokataa au kukatazwa na timu yake asijiunge na timu ya taifa?
 
Juzi nimeuliza swali sijajibiwa, kwanini Yanga imekuwa inamzuia Mzize asijiunge timu ya taifa na sheria zinasemaje pale mchezaji anapokataa au kukatazwa na timu yake asijiunge na timu ya taifa?
Kwanini wewe sio Mtanzania
Una miguu miwili na sio kiwete
Kwani usichezee team ya Taifa?
Au umezuiwa na nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Juzi nimeuliza swali sijajibiwa, kwanini Yanga imekuwa inamzuia Mzize asijiunge timu ya taifa na sheria zinasemaje pale mchezaji anapokataa au kukatazwa na timu yake asijiunge na timu ya taifa?
Hii mpya
 
Back
Top Bottom