Vincenzo Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2020
- 12,139
- 25,415
Tupo tayari kwa mchezo wetu wa pili wa kombe la Mapinduzi hapo baadae ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
Mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
Wachezaji wetu wakikosi cha pili watachezg kama kawaida, ila kule makoloni wanaua vipaji vya vijana kombe la mapinduzi akina bareke saido onana wa nini sasa ... mkuu vitani hawachagui silaha, mawe,visu, panga hata kijiko.
Wengine usiku ndio wanakuwa free mchana wanalalaUtopolo Kweli ni shida...
Jamus nayo ya kuidamkia kwa Uzi usiku usiku namna hii..!
Simba anacheza na bingwa mtetezi sasa nyie hivyo vitimu mnavyocheza navyo mtahesabu ni timu kweli?Wachezaji wetu wakikosi cha pili watachezg kama kawaida, ila kule makoloni wanaua vipaji vya vijana kombe la mapinduzi akina bareke saido onana wa nini sasa
Tatizo unadhani wote humu JF wanaishi hapo Kazula mimba kwenu, wengine wapo far eastUtopolo Kweli ni shida...
Jamus nayo ya kuidamkia kwa Uzi usiku usiku namna hii..!
Usituletee habari ya timu mbovu mbovuSimba anacheza na bingwa mtetezi sasa nyie hivyo vitimu mnavyocheza navyo mtahesabu ni timu kweli?
Jamus inakuja kula zake za kutoshaTupo tayari kwa mchezo wetu wa pili wa kombe la Mapinduzi hapo baadae ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
View attachment 2859709
Simba alipocheza na bingwa mtetezi wa ligi ya NBC alikula ngapi?Simba anacheza na bingwa mtetezi sasa nyie hivyo vitimu mnavyocheza navyo mtahesabu ni timu kweli?
Hiyo jaminus inashiriki ligi gani?Simba alipocheza na bingwa mtetezi wa ligi ya NBC alikula ngapi?
Yaani hizi ratiba zimekaa kiupendeleo sana . Simba na yanga hazichezi juani wakati timu nyingine zote zinachezeshwa kwenye jua kali la saa kumi.Tupo tayari kwa mchezo wetu wa pili wa kombe la Mapinduzi hapo baadae ni saa 2:15 usiku
Mungu ibariki Yanga SC
Kila la kheri Yanga SC
View attachment 2859709
Kwani Simba iliyopigwa 5 inashiriki ligi ipi?Hiyo jaminus inashiriki ligi gani?
Unazungumzia 5-1, kuna timu ilipigwa 5-0Kwani Simba iliyopigwa 5 inashiriki ligi ipi?
Simba mechi ngapi kapigwa 5?Unazungumzia 5-1, kuna timu ilipigwa 5-0