kinje ketile
JF-Expert Member
- Dec 12, 2015
- 4,314
- 8,306
Watu Wanapewa Zalani zalani tu....!
Wakibadilishiwa basi Jamus au KVZ..
Wakibadilishiwa basi Jamus au KVZ..
Duh! Kila la heri kwa Wananchi. Naona kikosi kina mabadiliko ya kutosha tu. Nadhani wadogo zetu simba wana cha kujifunza hapa. Siyo kila mechi lazima Kapombe, Onana, Baleke, Ngoma, na Che Malone wacheze..🔰𝐌𝐀𝐓𝐂𝐇𝐃𝐀𝐘🔰
🏆 #mapinduzicup
⚽️ Young Africans SC Vs KVZ FC
📆 04.01.2024
🏟 Amaan, Zanzibar
🕖 2:15 Usiku
View attachment 2861587
Ni Match ya Round ya Tatu.
Yanga Tayari ameshaingia Robo fainali,
Mechi inachezwa kukamilisha ratiba tu.
Tunategemea kupata burudani kweli kweli kutoka kwa Wananchi.
KIKOSI CHA YANGA KINACHOANZA.
View attachment 2861875
Kikosi cha KVZ kinachoanza.
View attachment 2861921
#Daimambelenyumamwiko#
Mpira umeanza hapa: Beki za Yanga zinakanganyana kidogo hapa.
6'
Yanga wanafanya shambulizi lisilo na madhara kabisa kwenye lango la KVZ
10'
Yanga 0- 0 KVZ
Mpira unaendelea timu zimebalance game sasa.
15'
Mpira unaendelea, bado milango ni migumu kwa timu zote
Mihogo ni shidaHawa vijana wa Yanga wanaonekana hawana Afya kabisa.
Au ndio kulishwa Sukari na mikate tu?
Body Physic kwenye football ni muhimu sana
Huna credibility ya kutoa maoni juu ya Yanga wewe Kolo tulia.Hawa vijana wa Yanga wanaonekana hawana Afya kabisa.
Au ndio kulishwa Sukari na mikate tu?
Body Physic kwenye football ni muhimu sana
kukoje hukooHuna credibility ya kutoa maoni juu ya Yanga wewe Kolo tulia.
Ujinga ujinga tu, walau robo fainali kutakuwa na userious kidogo nadhani.kukoje hukoo
Uzuri Mpira ni Mchezo wa Wazi.Huna credibility ya kutoa maoni juu ya Yanga wewe Kolo tulia.
Unaona ninachosema?Huna credibility ya kutoa maoni juu ya Yanga wewe Kolo tulia.
Mchezo wa hovyo huu, hebu mie nifanye mambo mengine.Unaona ninachosema?
Wamekosa nguvu kabisa