The best 007
JF-Expert Member
- Oct 6, 2019
- 37,873
- 82,535
EtieeKila la heri mnyama Simba.
EtieeKila la heri mnyama Simba.
Nimeona mtabiriSIMBA 2 yanga 1View attachment 2241718
"GSM kanunua hii match" kolowizard hawanaga akili 😀Nyie Makolo Hii Mechi Mmetuuzia Kwa Sh Ngapi??
Sawa sawaFT: Uto 0 Vs 2 Simba
Kila la kheri SIMBA SC Klabu yenye mafanikio zaid TANZANIA.
Ukajikuta umelala tenaNguvu Moja nimeamkia Kirumba
Utabiri wako umetimiaTunashinda goli 1 halafu linafungwa kwa mguu wa kushoto
TumeionaSio uganga, hiyo ni sayansi ya time travel
HongeraLeo Yanga hawataamini kitakachowakuta!! Namgogoro wa uongozi utazuka baada ya kipigo cha leo!!!
PoleKila la kheri Simba Fc
Na kweli kimeelewekaAh tusubiri tokeo Mkuu
Leo lazima kieleweke
Mayele ni mtu na robo tatuMayele hajafunga ila alichokuwa anawafanya mabeki mpaka nikawaonea huruma
Hata kocha angekuwa Pep lazima mngefungwa tu, usimpe lawama kocha bali Yanga ya sasa ni balaa sana.Kwa kuzingatia kikosi cha Simba Sc kuelekea hii mechi, kuna haja ya kuangalia namna ya kupata kocha mpya kwaajili ya msimu ujao.
Hii mechi Simba Sc akichomoka ni kw bahati sana.
All the best huko ulikoAll the best mnyamaView attachment 2242299
Uko wapi sahiziHahaaaa acha nissubiri utopolo watakavo poteana baada ya mechi
Huu ndo mpiraNa kweli kimeeleweka
Mimi na kwambia uhamiaji hawafanyi kazi yao vizuri FEI TOTO sio Mtanzania.
"GSM kanunua hii match" kolowizard hawanaga akili