comrade_kipepe
JF-Expert Member
- Jun 25, 2019
- 6,447
- 11,504
Hata baka ndio hivyo, kuna harufu ya redHuyu Mwamnyeto vipi? Aina gani hii ya ukabaji?
Hata baka ndio hivyo, kuna harufu ya redHuyu Mwamnyeto vipi? Aina gani hii ya ukabaji?
Hata akina Tchouamen, Alex Song, Mbappe na Zidane wanashangaa hivi hawa Wachezaji waliovaa jezi ya bluu wametoka kwenye mapori ya wapi?Huyu Mwamnyeto vipi? Aina gani hii ya ukabaji?
Tunisia anashindaMi najua tu hapa ni 2:1 tunaisumbua mahakama tu hapa
Kila nchi na utaratibu wake wa kukaba, mabeberu wasituingilie utaratibu wetu wa ukabaji😁Hata akina Tchouamen, Alex Song, Mbappe na Zidane wanashangaa hivi hawa Wachezaji waliovaa jezi ya bluu wametoka kwenye mapori ya wapi?
Ukabaji wa kumshikilia mti namna ile? Hata Simon Msuva kafanya hivyo hivyo. Ushamba sana.
Hata Ivory cost last Afcon alibeba kombe kwa kufuzu kama best looser.!!same thing kwa Portugue wewe nyumbu wa Maria Sarungi.!!Best looser still a looser😀😄😃
Sasa unafananisha tui la Nazi na maziwa?Hata Ivory cost last Afcon alibeba kombe kwa kufuzu kama best looser.!!same thing kwa Portugue wewe nyumbu wa Maria Sarungi.!!