FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

FT' Tanzania 1-1 Tunisia - AFCON 2025| Group Stage | Group C | Match 3 of 3 | Stade Prince Moulay Abdallah Stadium | Saa 19:00 Usiku

Haya yule beki wenu mliyempa sifa za ukabaji wa kijinga kachomesha huko. Yaani katika soka la Kisasa yeye bado anakaba kama tuko zama za mawe? Kumamake Ibrahim Bacca.
Ulisikia hizo sifa alizomwagiwa na watangazaji wa azam baada ya lile tukio?? 🤣🤣🤣🤣 Aisee jamaa linacheza kama likondooo wanalisifia upumbavu, na leo linaweza likala umeme
 
1758477529116.jpg
 
Ulisikia hizo sifa alizomwagiwa na watangazaji wa azam baada ya lile tukio?? 🤣🤣🤣🤣 Aisee jamaa linacheza kama likondooo wanalisifia upumbavu, na leo linaweza likala umeme
Hao Watangazaji ni maamuma sana. Wanasifia ukabaji wa kizamani. Hata siku ile Osimhen aliona amepaniwa na mpori pori mmoja kutoka vijiji vya Ujamaa, akaona aliangalie tu.

Eti hilo ndo tukaanza kuambiwa klabu ya Fulham inataka kulisajiri.Fulham my foot! Labda kama ni "furu wa hamu". Kubababake.
 
Hao Watangazaji ni maamuma sana. Wanasifia ukabaji wa kizamani. Hata siku ile Osimhen aliona amepaniwa na mpori pori mmoja kutoka vijiji vya Ujamaa, akaona aliangalie tu.

Eti hilo ndo tukaanza kuambiwa klabu ya Fulham inataka kulisajiri.Fulham my foot! Labda kama ni "furu wa hamu". Kubababake.
Anakaba bila akili nguvu nyingi
 
Back
Top Bottom