Wenzio wamekuacha peke yako huko wanajipoza kwanza na panadol kisha ndo waje kubwabwaja. 🤣🤣Mmeanza wadau.
Tutulize Pressure
Nipigwe ban Maisha yangu yote mkiifunga Prison 5 we unadhani Prison hii ni mdebwedo hawa wako smart...Nawakumbusha tu game ya mzunguko wa Kwanza walitangulia Hawa Prisons kwa goli la mapema kabisa.
Ila mwisho wa game walikula 3 hawa.
Leo watakula 5.
Tuambie amuweke NaniKwanini huyu kocha hajapanga kikosi chetu kilichomfunga galaxy 6.
Kocha kaniuzi sana
Wakichomoa tu kinaacha mlendaManula hata kutokea kidogo kashindwa.Haya kidude hiko kazi kwenu kukichomoa.
Haamini anachokiona Prison wanacheza fantastic soka utazani hua wanafanyia training Avic TownWenzio wamekuacha peke yako huko wanajipoza kwanza na panadol kisha ndo waje kubwabwaja.
Ukiachana na mapenzi, hakuna raha nyingine nnayopata kama kuona Simba akipata matokeo mabaya.
Labda kushinda njaa Mtani. 😜😜Hakuna shida.
Tutashinda hii
Tulia upakatwe na wajedaGhafta nyuma mwiko zimejazana humu kunani?