Itafahamika.Ya miti tu
Kama unajua mpira huwezi kuacha kuona kosa la golikipa.Nalitafuta kosa la Manula silioni.
HUWA HAKUNAGA GOLI LA KIJINGA UNAMFUKUZA MWIZI UNAACHA MLANGO WAZI UNATEGEMEA NINITumefungwa goli lakijinga sana.
Leo tuatamkoma GENTAMYCINE na ushauri wake kuhusu uwanja wa Jamhuri.Tumefungwa goli lakijinga sana.
Hawa tuwaonee huruma kidogo wale walau 4 kavu
Naongezea hapo ...labda Mimi sijui Mpira ila ......... yule jamaa alifanya touch ipo mbali kabisa na lilikua eneo ambalo goalkeeper angewahi kabisa ule Mpira (na naamini kabisa alijilaumu kwa kufanya touch mbovu ila akaona shati limeganda tu golini akajipa hope na upya na akaupata ule mpira) ......goal la hovyo sana kwa goalkeeper wa hadhi ya Timu ya taifa ......🚮🚮😠Kama unajua mpira huwezi kuacha kuona kosa la golikipa.
Sehemu ya kutokea yeye kasimama, na sehemu ya kubana angle yeye katoka.