Mcheza Viduku
JF-Expert Member
- Jun 24, 2020
- 1,049
- 2,537
Kanoute kama kawaida yake amekula njano
Wapo pungufu lakini makolo wanacheza uharo mtupu,hkuna timu apanasikia cost wana red toka dakika ya 21
Mbeleko fcKwanza tawi jumlisha red jibu ni 😇
'Unasikia' ! Pamoja na kuwa 'umesikia', cha ajabu utaanza kuchangia bila kujua kilichotokea 😁nasikia cost wana red toka dakika ya 21
Thubutu.... hawa wakikutana na Mashujaa fc,wataaibishwa sana.Tinyo kashaishiwa mbinu,aongee na viongozi wa Coastal walegezewe.Si walisema leo wanashinda saba ili waongeze ligi
Ingia wakawe kamili, sio pungufuWapo pungufu lakini makolo wanacheza uharo mtupu,hkuna timu apa
Msimamo wa ligi bado Sana,labda ni nyie mnahangaika mkae japo kidogo,maana Mambo yakishakua Mambo,kukaa juu mtakusikia tuHivi kumbe kuna watu wana hofu kuhusu msimamo wa ligi?
Sio na Yanga? 😁 😁 😁Thubutu.... hawa wakikutana na Mashujaa fc,wataaibishwa sana.walegezewe.
Eeh eeh eeh eeh eeeeh wamebana wameachiaLeo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam.
Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.
---
7' Goal Jean Baleke Simba 1 - 0
12' Goal Jean Baleke 2 - 0
40' Goal Jean Baleke anafunga kwa njia ya penati, Simba inaongoza 3 - 0
HT: Simba 3 - 0 Coastal Union
Kipindi cha pili kimeanza
Thubutu.... hawa wakikutana na Mashujaa fc,wataaibishwa sana.Tinyo kashaishiwa mbinu,aongee na viongozi wa Coastal walegezewe.
Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?Hizi ndizo mbinu zenu huko Utopoloni!
Kabisa na timu yao ilivyo tutawaonea huruma sanaThubutu.... hawa wakikutana na Mashujaa fc,wataaibishwa sana.Tinyo kashaishiwa mbinu,aongee na viongozi wa Coastal walegezewe.
Kanuni za ligi zilibadilika tangu mwaka juzi. Kabla ya kuangalia mabao ya kufunga na kufungwa, kinachoangaliwa ni Head to Head, ni kwa kuwa tu bado Simba na Yanga hawajakutana. Unaweza ukawa na mabao mengi, ila kama mnayelingana naye point alikukanda, anakuwa juu yakoSi walisema leo wanashinda saba ili waongeze ligi
Goli kumi zinafika sahivi tuna goli tano👇Wapatie wapi goli kumi,dakika ya 76 hii,labda ingekua rede hii