FT: Simba 3-0 Coastal Union | NBC Premier League | Uhuru Stadium | 21.09.2023

Leo saa 10:00 jioni Simba SC itakuwa kibaruani kucheza dhidi ya Coastal Union katika dimba la Uhuru Dar es Salaam.

Ni mchezo wa raundi ya tatu ya NBC Premier League ambapo kila timu inahitaji alama tatu ili kujiweka katika nafasi nzuri kwenye msimamo wa ligi.
---


View attachment 2757123
Kikosi cha Simba kinachoanza mchezo

View attachment 2757124


7' Goal Jean Baleke Simba 1 - 0

12' Goal Jean Baleke 2 - 0

40' Goal Jean Baleke anafunga kwa njia ya penati, Simba inaongoza 3 - 0

HT: Simba 3 - 0 Coastal Union

Kipindi cha pili kimeanza
Eeh eeh eeh eeh eeeeh wamebana wameachia
3-0 tatu bila tatu bilaaa
Wamebana wameachia
 
Hizi ndizo mbinu zenu huko Utopoloni!
Hapana,tunene uhalisia,hivi kweli unaamini timu inaweza ikapigwa tatu kipindi cha kwanza,halafu kipindi cha pili,tena timu pinzani wakiwa pungufu,washindwe hata kufunga goli moja?
Huoni kuna walakini?
Ikitokea tume huru ikiundwa,huoni Simba na Coastal watafungiwa?
Daaah! inasikitisha sana.
 
Si walisema leo wanashinda saba ili waongeze ligi
Kanuni za ligi zilibadilika tangu mwaka juzi. Kabla ya kuangalia mabao ya kufunga na kufungwa, kinachoangaliwa ni Head to Head, ni kwa kuwa tu bado Simba na Yanga hawajakutana. Unaweza ukawa na mabao mengi, ila kama mnayelingana naye point alikukanda, anakuwa juu yako
 
@mods
Wapatie wapi goli kumi,dakika ya 76 hii,labda ingekua rede hii
Goli kumi zinafika sahivi tuna goli tano👇

images (2).jpeg
 
Back
Top Bottom