NoreformNoelection
JF-Expert Member
- Jan 29, 2025
- 1,389
- 1,440
Simba anadondosha point 2 kwa pamba Leo.
Huyu Doumbia ni TAPELI
Tunataka kuona VAR inafanya kazi sawa saw ana kwa Uto.
Hakai mtuKwa TRA, Azam, na SBS Simba atakaa.
Yule bacca sizani kama ataponaTunataka kuona VAR inafanya kazi sawa saw ana kwa Uto.
VAR itamuumbua ila refa atamponesha.Yule bacca sizani kama atapona
Waulizwe walimuona wapiDoumbia wa free delivery
Hizi ndogo ndogo ndo za kuzihofia.! Mabwanyenye huwa wanapenyeza rupia huko zaidi.! Ndio maana ufundi unakuwaga hakuna.Bado sana mkuu. Nadhani kipimo chetu sahihi ni Azam, TRA na Singida