Pongezi kwa TFF huu msimu utatoa bingwa wa kweliBado hamjasema, si mmezoea kubebwa
Pongezi kwa TFF huu msimu utatoa bingwa wa kweliBado hamjasema, si mmezoea kubebwa
Ni kama Duchu wanapata kadi zisizo na umuhimu benchinla ufundi inabidi likae na wachezaji kuwaaonya kadi za kipuuzi.Huyu Jabaa r ni mpumbavu. Kwamba hawaelewi kuna vs
Sahihi kabisa.!Ni kama Duchu wanapata kadi zisizo na umuhimu benchinla ufundi inabidi likae na wachezaji kuwaaonya kadi za kipuuzi.
Kabisa mkuuPongezi kwa TFF huu msimu utatoa bingwa wa kweli
Timu kubwa zote kwenye ligi yetu huwa zinaheshimiwa mpaka uwanjani jambo ambalo sio sahihiWapi tulibebwa
Timu imecheza vyema sana leo.! Ukiondoa hiyo kadi ya kizembe, timu ipo safi kabisa.Simba tubadilike tukija kukutana na timu nzuri sijui
Bado sana mkuu. Nadhani kipimo chetu sahihi ni Azam, TRA na SingidaTimu imecheza vyema sana leo.! Ukiondoa hiyo kadi ya kizembe, timu ipo safi kabisa.
Nilitegemea utakuwa unazungumzia mechi inayoenelea, kumbe unasema Simba ibadilike leo kwa ajili ya mechi zijazo?Bado sana mkuu. Nadhani kipimo chetu sahihi ni Azam, TRA na Singida
Nasema hiki si kipimo sahihiNilitegemea utakuwa unazungumzia mechi inayoenelea, kumbe unasema Simba ibadilike leo kwa ajili ya mechi zijazo?
Ligi Kuu ya NBC inaendelea leo Jumatano, Agosti 19, 2026, kwa michezo mitatu, huku Simba SC ikishuka dimbani kumenyana na Pamba Jiji FC katika Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza. Mchezo huo unatarajiwa kuanza saa 10:15 jioni.
Simba inaingia uwanjani ikiwa ugenini, huku Pamba Jiji ikitafuta kutumia faida ya kucheza mbele ya mashabiki wake. Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kutokana na umuhimu wa pointi tatu kwa kila upande katika mwendelezo wa msimu wa 2026/27.
VIKOSI VYA TIMU ZOTE
Kikosi cha Pamba FC
Kikosi cha Simba SC
19' Goooal - Chama
31' Goooal - Aura
Kwa TRA, Azam, na SBS Simba atakaa.Bado sana mkuu. Nadhani kipimo chetu sahihi ni Azam, TRA na Singida