Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,905
- 28,067
Simba tamu kama maini
Nyie gainers mnashiriki mashindano gani?maalumu kwa ajili ya looser
Tujitahidi tuchukue kombe tuipe nchi yetu heshima.1. Tumeingia robo fainali
2. Tumeongoza kundi
3. Tumelipa goli la Mzize
Daa! Wewe @Joanah😅Mkuu,,angalia mpira kwanza
Haya mengine yanazungumzika 🤣
Hahaha hatari sanaMnyama 🦁 🦁 anamuua 'kiumbe' mmoja kikatili sana.
joseph1989 zipompa Joseverest Evelyn Salt NumbisaOoh tumeshindwa kumfunga mwarabu wanalala sana
Wapi? Ushahidi uko wapi?
Wanawasingizia tu watu wawatu
Kabisa.Tujitahidi tuchukue kombe tuipe nchi yetu heshima.
IN SHAA ALLAAHStellenbosch FC
ASC Jaraaf
Al Masry SC
Hapa nusu tunatoboa, Masry ndio kidogo mbishi
Hakika SIMBA ni timu kubwa na makini ukanda huu wa Afrika mashariki. Kwa matokeo haya na yale ya jana acha tu niukubali ukweli.
Hongereni sana wanasimba.
Yanga forever 💚💛💚💛
Stellenbosch FCSimba anaweza pangiwa kati ua timu ipi?
Kalkuleta zimetuangusha sana dahUna kitu,utafika mbali ndugu yetu mzee wa kalkuuuuleta
Kama Maini na firigisiSimba tamu kama maini