Numbisa
JF-Expert Member
- Dec 12, 2016
- 348,121
- 1,249,293
Hesabu za kichwa na kalkuleta vyote vimewapiga KOKalkuleta zimetuangusha sana dah
Ukiskia masikini jeuri ndo huyu Sasa....unafia na tai shingoniKuna nini tena humu?
Tarehe ya leo. Mtarudi hapa, hambebi hilo kombe na .......
Yanga Forever 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Tatizo watu walikuwa wanawaza mkutano mkuu dodoma.Hesabu za kichwa na kalkuleta vyote vimewapiga KO
Mwanangu hii simba imezidi utamu unaweza kupata kisukari usipo kuwa makini.Hakika SIMBA ni timu kubwa na makini ukanda huu wa Afrika mashariki. Kwa matokeo haya na yale ya jana acha tu niukubali ukweli.
Hongereni sana wanasimba.
Yanga forever 💚💛💚💛
Kombe tutalibeba tu.....mpende msipende...😂😂😂..Kuna nini tena humu?
Tarehe ya leo. Mtarudi hapa, hambebi hilo kombe na .......
Yanga Forever 💛💚💛💚💛💚💛💚💛💚
Wachambuzi wanakabia juu kwa juu.James Samwel: Hizi move za Simba ndio zilikosekana jana
Hongereni mafanikio huwa hayajifichi, ule mgoli wa kibu bado kidogo nipate heart attack. Na hapa ndio tabu inapoanziaMwanangu hii simba imezidi utamu unaweza kupata kisukari usipo kuwa makini.
Mwanangu bado tunajenga timu huko kwenye mafanikio tunawaachia wazee wa kalkuleta.Hongereni mafanikio huwa hayajifichi, ule mgoli wa kibu bado kidogo nipate heart attack. Na hapa ndio tabu inapoanzia
Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?Mwanangu hii simba imezidi utamu unaweza kupata kisukari usipo kuwa makini.
Kama kujenga timu ni huko hapana sijui itakuaje mkifikia level ya mafanikio.Mwanangu bado tunajenga timu huko kwenye mafanikio tunawaachia wazee wa kalkuleta.
Pole bantu lady😊Usiwadanganye wenzako. Simba hawana timu, huwa wanapita kimazabe sana. Juzi mlikuwa mkisema wenyewe timu mbovu, leo yamekuwa haya baada ya kushinda?
Mimi hata ningekuwa siko Yanga, siipendi acheni kuna wachezaji. Hapa Aucho kule Mzize Babeki.