Teamo
JF-Expert Member
- Jan 9, 2009
- 12,272
- 1,035
Why would i miss you?..........NAH!NEVER ON EARTH.
baada ya ''kumeremeta'' na kuitafakari ripoti hii kwa muda mrefu sana nimeamua iwe hivyo tu.
I will never stop blaming B (and all of your team) for bringing to tanzanians that kind of MESS!kipindi cha utawala huu nchi yetu imepitia kwenye matatizo ya ajabu sana.
kama noma na iwe noma!manung'uiko ya watu yanapokuwa mengi na ya muda mrefu HUGEUKA LAANA!Laana ikishakuwa laana huenda ukaipata wewe au uzao wako,milele hata milele.
I WILL NEVER MISS YOU BEN
baada ya ''kumeremeta'' na kuitafakari ripoti hii kwa muda mrefu sana nimeamua iwe hivyo tu.
I will never stop blaming B (and all of your team) for bringing to tanzanians that kind of MESS!kipindi cha utawala huu nchi yetu imepitia kwenye matatizo ya ajabu sana.
kama noma na iwe noma!manung'uiko ya watu yanapokuwa mengi na ya muda mrefu HUGEUKA LAANA!Laana ikishakuwa laana huenda ukaipata wewe au uzao wako,milele hata milele.
I WILL NEVER MISS YOU BEN