Akipatikana shemeji mpya unistue lolsyaan mm hua nikimkosa humu hua nakua mzito... ila yupo real..sipend mtu afake..
😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 Hongera Sana Madame B ,Inshallah utapata chagu lako mtakayeendana kwa kila kitu.Haahahahhah King Kong III we nipe tena hongera zangu bhana
Rafiki!!!Akipatikana shemeji mpya unistue lols
Nakuona ujue unavyotudiss oooh[emoji23][emoji23][emoji23]hayo yako..ila watata ht kwa vitu vya ajabu ajabu sijui y
[emoji23][emoji23][emoji23]unamsema rafiki yangu mnyaki..mtata jaman..sijaongea naye mwaka mzima..last yr alisema yupo bored anataka kuja kwangu the next day.. nikanwambia wait mshahara utoke ndo uje tule bata..mie nw nina hela ya mawazo..kumbe kanuna[emoji23][emoji23]kamute mpk leo..mwaka umeisha!mtata..hakai na mwanaume ht 3mths..
Ni nini hivyo kutuonea lakini?Huyu Madame B atakuwa Mnyakyusa ndo wanapenda kuachana na wanaume hata kwa kaugomvi kadogo.
[emoji39][emoji41]yaan mm hua nikimkosa humu hua nakua mzito... ila yupo real..sipend mtu afake..
[emoji39][emoji41]
😂😂😂😂wanyaki mie siwawez jaman kaaa mna gubuuuu... jaman mie sijawah ambiwa nina gubu...khaa zaid wananiambiaga ww mdada una roho nzuri..sema kumamamae zao marafiki wananitendaNi nini hivyo kutuonea lakini?
😂😂😂.mbadilikeeNakuona ujue unavyotudiss oooh
Hakimu kwam kwambia talaka ipo tayari sasa ni kuvunja ndoa tuu naona sasa unashangilia. Alishakupigia simu kwamba anavunja ndoa. Hongera sana kwa kujitoa katika utumwa wa kukabwa mpaka penalty sasa ni uhuru kamili kutoka mkucha ya mkoloni. Ila utakuwa tajiri ukipata mgao wako hakimu ka kwambia utapata kiasi gani? Ili tuanze bajeti ya moto baridi moja moto chrismas.We nawe usichokoze wafu waliozikwa na kudra zao.
Pendo mchezo.
Unadhani kupendana ni kama matako, kila mtu anayo...
Natafuta mwanaume mpya sasa
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]wanyaki mie siwawez jaman kaaa mna gubuuuu... jaman mie sijawah ambiwa nina gubu...khaa zaid wananiambiaga ww mdada una roho nzuri..sema kumamamae zao marafiki wananitenda
Unachokunywa siku hizi kiache
Mimi mpole sana, naonewa hadi basi, siku "udume" wa kinyakyusa ukiamka, aisee utaenjoy na roho yako.. Gubu sina kabisa hehehehhe
[emoji23][emoji23][emoji23]naomba nikae kimya.mjaman marafiki sio.usimuamin rafik
Ohooooh! We komalia hivyohivyo watu wanaoana mkuuHizi Bongo Movie sasa
shogaaa...nipo hapaaa nakuja ..mweleze na espy kivuruge wangu..jamani Mungu ananipenda😂😂😂👏Umbea unaniwasha hapa khaaa, njoo basi pyem unithimulie kidogo
shogaaa...nipo hapaaa nakuja ..mweleze na espy kivuruge wangu..jamani Mungu ananipenda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji122]