😤😷Hahahahaaaa
Show of affection on public is a sign of weakness or hypocrisy......unknown!
Hayo ni mawazo yako wewe
😂😂😂😂😂😂 shout out to@sharkMie kiukweli mwanaume ambae alikuwa ananikosha na ambae nilikuwa nimemuweka moyoni kiukweli ni mpenzi Ben Saanane.
Yaani mapenzi yalikuwa moto sana....
Kisha akaja mbabe Shark huyu nae alikuwa ananipatia sana....ila hawa wengine ni kama royco tu...hata ikikosekana kwenye mboga, mboga italika tu
Hukuona pa kuipelea mpaka uilete kwenye huu uzi?
Hukuona pa kuipelea mpaka uilete kwenye huu uzi?
Huyu Madame B atakuwa Mnyakyusa ndo wanapenda kuachana na wanaume hata kwa kaugomvi kadogo.hahahahaha madame nimesimama sehem naanguka mbav mm ...yaan ww mm sijui huwa nakuangaliaej[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!upo zaid ya real..ukiguswa tu ww ushalipuka[emoji23][emoji23][emoji23]yaan ww magonjwa ýya sonona mtapishana nayo msamvu round abt
Unau-judje muandiko wangu kujua kama nimepanick au lah!!!Nimeiweka kama food of thought...
Mbona umepaniki na kua defensive namna hii?
I told you,pay no mind....Jeez!
😂😂😂unamsema rafiki yangu mnyaki..mtata jaman..sijaongea naye mwaka mzima..last yr alisema yupo bored anataka kuja kwangu the next day.. nikanwambia wait mshahara utoke ndo uje tule bata..mie nw nina hela ya mawazo..kumbe kanuna😂😂kamute mpk leo..mwaka umeisha!mtata..hakai na mwanaume ht 3mths..Huyu Madame B atakuwa Mnyakyusa ndo wanapenda kuachana na wanaume hata kwa kaugomvi kadogo.
Hahahahahah....angalie usianguke.hahahahaha madame nimesimama sehem naanguka mbav mm ...yaan ww mm sijui huwa nakuangaliaej😂😂😂😂!upo zaid ya real..ukiguswa tu ww ushalipuka😂😂😂yaan ww magonjwa ýya sonona mtapishana nayo msamvu round abt
Wanaume tunaopenda kuwasikiliza wanawake tupo wachache, nanyi mkiwapata heshimuni ona unarudi kudanga tenaHahahahha
Jamani mie wala sio Mnyakyusa.
Sio kaugomvi kadogo....mie napenda kuwa huru ndani na nje ya Jf babe
Unau-judje muandiko wangu kujua kama nimepanick au lah!!!
Wewe umekuwa mtabiri au?
Hahahahahha.....mnatuchosha.
Umeruka nyuzi zooooote ukaona quote yako uje kuitupia humu.
Haya nimekuelewa....rate ☆☆☆☆
Wanaume michosho tu samtaim.😂😂😂unamsema rafiki yangu mnyaki..mtata jaman..sijaongea naye mwaka mzima..last yr alisema yupo bored anataka kuja kwangu the next day.. nikanwambia wait mshahara utoke ndo uje tule bata..mie nw nina hela ya mawazo..kumbe kanuna😂😂kamute mpk leo..mwaka umeisha!mtata..hakai na mwanaume ht 3mths..