From Madame B to Mung Chris...

From Madame B to Mung Chris...

We nawe usichokoze wafu waliozikwa na kudra zao.
Pendo mchezo.
Unadhani kupendana ni kama matako, kila mtu anayo...
Natafuta mwanaume mpya sasa
Eeeh nipo nyuma ya muda sana japo muda wote nipo humu jf ..Mageni kwangu haya pole
 
hahahahaha madame nimesimama sehem naanguka mbav mm ...yaan ww mm sijui huwa nakuangaliaej[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]!upo zaid ya real..ukiguswa tu ww ushalipuka[emoji23][emoji23][emoji23]yaan ww magonjwa ýya sonona mtapishana nayo msamvu round abt
Hahahahahah....angalie usianguke.

Asa yeye hiyo quote anaitaka nani hapa?
Ahhhh mie sipendi kujichoshaga na vijineno vya sonona.
Angeweka huko kwenye nyuzi zingine wala nisingeona...ila kaweka hapa, ujue ana maana yake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Basi bakini nao hao wanaowasikiliza.
Acha sie wenye masikio ya popo tupende tunapotaka.

Tangu umeanza kusoma pale mwanzo, nimekwambia natafuta bwana hapa!
Nawe usinichoshe wewe.
Kama huna la kuongea, kapige nyeto
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Mpwa kama maji yamemwagika huko njoo tuchote mengine huku. "Sitakuangusha"[emoji39][emoji39]
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom