Bbade
JF-Expert Member
- Mar 15, 2013
- 6,742
- 21,875
Huna wa kumwanzishia?
Umesahau bado nasokota katani yako?.
Huna wa kumwanzishia?
Mung ChrisHahaha.
Ashamaliza ujana na mie nishamaliza ujana.
Hatuna wasiwasi.
Ila asijaribu maana sitamuacha salama.
Hahahaha
aiseee!Miezi mitatu na mimba umeshabeba.... hongera
Sidhani kama utaenea hapa....kama toka kipindi kile.Umesahau bado nasokota katani yako?.
Yeye kamwambia mtarajiwa wake apunguze utoto...vitukoDuh kama wewe umejibu hivi yeye je?
[emoji23] [emoji23] [emoji23] AiseeBongo movie....
Nilimfahamu before Jf.Miezi mitatu na mimba umeshabeba.... hongera
Tutakodisha Forum nzima iwe yetu siku ikifika. ....Sidhani kama utaenea hapa....kama toka kipindi kile.
[emoji23][emoji23][emoji23]Ndoa ya uzeeni.
Mimi apa rafiki![emoji18][emoji18][emoji18]Namwanzishia nani?
Hutaniweza na Ubabe Wangu.Mimi apa rafiki![emoji18][emoji18][emoji18]
Kweli aiseee,ngoja na mimi niendelee kusubiri humuhumu jf huenda nikapata zali kama huyo jamaaUsijali mkuu.
Ipo siku yako tu.
Muhimu ni kusema na hitaji lako
[emoji23][emoji23][emoji23]Hutaniweza na Ubabe Wangu.
Tatizo sio ubahili,tatizo hata hizo hela zenyewe sina😂😂😂😂😂...but somo ulilonipa liliniingia kisawasawa ngoja nitafute hela...lakini wakati mwingine hata nyie wenyewe hamueleweki mnataka nini😂😂wewe umezid ubahili na angalia sana itakukost.... toka juzi nakupa masomo ubongo mziiito!haya sasa warembo ndo km hawa wantwaliwa
Mi nataka nipendwe humuhumu jf...ukipendwa humu jf kuna raha yake etiKaka mkubwa ina maana hata kitaa hupendwi ?
Au unataka upemdwe humu jf bro ?