From Madame B to Mung Chris...

From Madame B to Mung Chris...

Mapenzi sio pesa, nilimaanisha umri.
Basi Ngoja nikupende mimi au unaogopa kupendwa na Tomboy?
Huwa napendaga kujua saikolojia yao hawa watu. Ila nashindwaga kuwa karibu nao. Kuna mmoja alipenda sana kuchart na mimi kipindi fulani ni dada wa rafiki yangu so ninashindwa kumuuliza wild qns kwasababu ya nature ya mahusiano yetu. Huwa napenda kujua their version of thinking on various issues. I am NOT saying I want a tom boy friend for now NO but l think hapo mbeleni I must, just curious to know things from them personally
 
Huwa napendaga kujua saikolojia yao hawa watu. Ila nashindwaga kuwa karibu nao. Kuna mmoja alipenda sana kuchart na mimi kipindi fulani ni dada wa rafiki yangu so ninashindwa kumuuliza wield qns kwasababu ya nature ya mahusiano yetu. Huwa napenda kujua their version of thinking on various issues. I am saying I want a tomb boy friend for now l think hapo mbeleni I must just curious to know things from them personally
Karibu sana.... uliza maswali yote nitakujibu... ila sio kwenye uzi wa watu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom