Ku excel zamani au sasa hakuna kipindi iliwahi kuwa rahisi,acha uvivu na visingizio,piga kazi tafuta pesa.
Wapo waliosoma manzese kwa mfuga mbwa na ngeli wanaichapa vizuri tu,tatizo wewe ulikuwa unaona soo kuongea kiingereza kwa kuogopa utakosea na kuchekwa ndiyo maana hujui.
Wabongo tuache haya mambo ya visingizio,elimu hii hii unayoiona mbovu kuna watu wanatoka na wanakamata position nzuri tu na hawajasoma international wala hawajawahi hata kwenda ulaya before kupata elimu "bora".
Kiingereza hata ukiamua serious sasa hivi kujifunza in one year time utakuwa mbali sana. Acha visingizio, komaa utafika tu. Naweza kukupa mifano ya watu waliosoma St. Kanumba na wana position nzuri ambazo wamepata bila upendeleo.
Tatizo letu wabongo tunapenda visingizio wakati uzembe ni wetu wenyewe. Kipindi kile secondary tunavalishwa kibao shingoni ukiongea kiswahili tulikuwa tunaona kama upuuzi. Walimu walikuwa wanajua kiswahili cha kuongea na kiingereza cha kuandika tunajua kiasi,ila walitaka tujue kiingereza cha kuongea pia ambacho tunakijua kwa practice.
kaka unathibitisha ulivyo mbinafsi na roho mbaya, nyie ndiyo mkipewa uongozi wa nchi mnaeleza uliyoyasema.Mimi nimetoa hali halisi ya maisha ya sasa, unasema wajisomee, how they can buy a book, wakati hawana hela?
Niliyeandika hapo ni lecturer mlimani, siyo kuwa lugha inanishinda, mpaka hapa niko matawi ya juu.Ila napata homa, nikiona watoto wetu wanauza maandazi masaa ya shule, wanaenda shule hamna walimu, who can tell them that English is essential?
Kuna watoto wanaenda shule hawajui hata umuhimu wa shule!
Mkuu, ulikurupuka kujibu kutokana na pendo lako la dhati kwa mtei, mwenzako nimeeleza hali halisi, undeniable truth.Hata mtoto wako huwezi ukamwambia hivyo mkuu, unamtayarishia njia na mazingira, hata hao waliosoma zamani, bado wazazi wao walikuw na uwezo, usifikiri mtu kama Mengi ni familia ya kimaskini
duh! umenishtua kwa roho yako mbaya, ya choyo, isiyo na aibu wala chembechembe za kunusa ukweli wala kuangalia hali halisi, au ndiyo wewe chongo huita kengeza?
Bila aibu unasema kipindi kile mlikuwa mnavalishwa vibao, siku hizi je?? hivi umempenda sana Mtei mpaka ukose kuona hali halisi,Mtei nani yako wewe? unatutisha!!
Mtei alikuwa na sifa gani kuwa gavana wa benki?