William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,588
- 10,375
Huyu mzee hakuwa gavana kwa merit bali alibebwa na nyerere ndio maana uchumi ukafa.kwenye hicho kitabu kaeleza alivymzuia zitto kabwe ili mwanawe awe mwenyekiti?
Ni kitabu cha kikabila zaidi kuliko utanzania.ndio maana mengi amepewa nafasi kubwa.huyu mzee anatapata tu
- Mkulu Kanda bwana, heshima mbele sana sometimes huwa unanishangaza sana na jeuri uliyonayo! Una jeuri flani hivi sio ya kawaida!
Respect.
FMEs!