Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,529
- 8,614
Ndipo wanapotushinda viongozi wa nchi nyingine,,,, Mtei kaonyesha njia ..na hata abudl jumbe mwinyi nafikiri anacho kitabu pamoja na kuwa sio autobiograph..but at least...tunataka watu kama ali hassan Mwinyi, Salim, Mkapa, Mrema, Warioba, Sumaye, Cleopa, Kawawa[kile alichoandikiwa hakiendani na hadhi yake...],... watu kama Hashim Mbita na historia za ukombozi...wote hawa wanahitaji kuachia watanzania uridhi wa vitabu...
Nampongeza mzee Walter Bgoya ..huyu hata mwalimu alikuwa akimtumia ...nafikri yeye na baadhi ya marafiki wa mwalimu walikuwa na mradi wa kuandika auto ya mwalimu na walishaaza kuandaa...nadhani ni bora kwakuwa mama Maria bado yupo watoto... na marafiki zake wapo... wamalizie ule mradi na kutoa kitabu... tena bahati mbaya juzi mmoja wa watu waliokuwa kwenye mradi wa auto ya mwalimu Haroub Othman kafariki...sasa ni vema waliobaki wamalizie kile kitabu ,,,ilikuwaa ndoto ya muda mrefu ya mwalimu kuwa akifa kitoke,,..
Nampongeza mzee Walter Bgoya ..huyu hata mwalimu alikuwa akimtumia ...nafikri yeye na baadhi ya marafiki wa mwalimu walikuwa na mradi wa kuandika auto ya mwalimu na walishaaza kuandaa...nadhani ni bora kwakuwa mama Maria bado yupo watoto... na marafiki zake wapo... wamalizie ule mradi na kutoa kitabu... tena bahati mbaya juzi mmoja wa watu waliokuwa kwenye mradi wa auto ya mwalimu Haroub Othman kafariki...sasa ni vema waliobaki wamalizie kile kitabu ,,,ilikuwaa ndoto ya muda mrefu ya mwalimu kuwa akifa kitoke,,..