Sultan Kipingo
JF-Expert Member
- Mar 4, 2013
- 238
- 179
chukua 120k hzo sofa

umeshafunga biashara?Ufundi alikuwa anasomea hana haja na viingerezaDah ulikuwa unasomea nini?
"finishup my studies want to movie from dar "
Wewe ni secretary wake?Ufundi alikuwa anasomea hana haja na viingereza
Hapana nimeona kozi ya ufundi seremala haihitaji viingereza kwani sion kama ni chuo,finish up,na movie?Wewe ni secretary wake?
Mkuu umenichekesha sana eti hiyo k ni nini, mwanzo ilinipa shida kuelewa kama wewe ilibidi nijiongeze. "70k" ana maanisha efl 7070k. 280k au 170k una maana gani? Yaani hiyo k ni nini?
Haha sawa mkuuHapana nimeona kozi ya ufundi seremala haihitaji viingereza kwani sion kama ni chuo,finish up,na movie?
70k. 280k au 170k una maana gani? Yaani hiyo k ni nini?
Dah!! Sina hakika kama k ina uhusiano na elfu. Lakini kama yuko serious na anachokifsnya alipaswa kuwa bayana zaidi maana unaweza kudhani anamaanisha *kwacha* yaani pesa ya zambia au malawi.
Haaaha watazama fursa!Mm nataka hizo ndizi, kiasi gani unauza?
Movie=Dah ulikuwa unasomea nini?
"finishup my studies want to movie from dar "

Kaka hii no 0688406360 unahakika hujakosea sehemu,maana nimepiga kapokea dogo kasema hana vitu anavyouza na tangu juzi anapigiwa simu,hebu tupe no ya ukweli sasa tufanye biasharaSofa ya mtu mmoja×2 @70k
Friji 280k liko vizuri sana hutajutia kuwa nalo
Kabati 170k zinapungua kidogo nicheki kwa no 0688406360 finishup my studies want to movie from dar
View attachment 619854View attachment 619855View attachment 619856View attachment 619857
Nilihitaj frij mkalinga sasa mnaanza kujitokeza.Sofa ya mtu mmoja×2 @70k
Friji 280k liko vizuri sana hutajutia kuwa nalo
Kabati 170k zinapungua kidogo nicheki kwa no 0688406360 finishup my studies want to movie from dar
View attachment 619854View attachment 619855View attachment 619856View attachment 619857
Hata mimi nimeambiwa hivyoKaka hii no 0688406360 unahakika hujakosea sehemu,maana nimepiga kapokea dogo kasema hana vitu anavyouza na tangu juzi anapigiwa simu,hebu tupe no ya ukweli sasa tufanye biashara
Kaka bora wewe.. mi nilidhani anauza K nyingi, nilitaka nije na wana tumuungishe, huku Kimboka tushapachoka.Dah!! Sina hakika kama k ina uhusiano na elfu. Lakini kama yuko serious na anachokifsnya alipaswa kuwa bayana zaidi maana unaweza kudhani anamaanisha *kwacha* yaani pesa ya zambia au malawi.