Friends with benefit, nimepewa masharti magumu

Friends with benefit, nimepewa masharti magumu

i see.................


Hello ...

Ni mwaka wa tano sasa tangu nianze maisha mapya nikiwa mama mwenye mtoto wa kiume wa miaka tano, Namshukuru Mungu baba yake amekua mstari wa mbele kumhudumia wheneva he is needed, najuta kufanya makubaliano nae before aliniambia hana muda na mimi ila anamjua mtoto wake, nikajibu kwa jeuri sina shida na wewe ukiamua lea mwanao lea , basi ikawa hivyo mtoto akawa chini yangu, .

Sasa baada ya miaka 2 akatokea mwanaume nikamdanganya before baadae akagundua nina mtoto akaniacha.

Nikapata mwengine alionyesha kunipenda sana siku nikampeleka kwangu nikamwambia nataka nikupe ukweli wa maisha yangu, nna mtoto , akasema hongera baada ya mda akaaga jumla, tukaishia hapo,

Sasa nimepata rafiki mwenye interest nami, hatujafika mbali naogopa kumpa go ahead cos sijajua nini hatma ya mwanangu, ndoa naitamani mtoto namtamani,

Nimempigia baba yake ananitusi eti kuna watu wanatafuta watoto me naona mtoto kikwazo, basi mchukue,anasema nikimpa mtoto hataki kuniona naenda muangalia sababu alikua anamgharamia nikashindwa kaa nae,

Nishaurini jamani juu ya kuhandle mtoto , mzazi mwenzangu, na mahusiano au mume mtarajiwa
 
Natamani niachane na hawa watu ila kiukweli nashindwa, nahitaji ushauri hasa wa mwana saikolojia aliyebobea, sipendi kuumiza wanawake wenzangu lakini hawanielewi,nami siwalaumu nakiri nakosea kwa sababu mume anauma jamani.
Ni hivi sijui hata nianzie wapi ila nahisi nimemuumiza mwanamke mwenzangu kwa hisia .nasema kwa hisia sababu cjafanya kila anachonihisi nimefanya kwa mmewe sema tu ushahidi haujatosha kua upande wangu.


Nimezoea kuwaita frends with benefit, sasa mmoja wa hao mafrend zangu ameoa , nimezoeana nae kupita kiasi inshort i fil happy being with him(naomba niweke kwenye mabano cjashiriki nae since nijuane nae coz hicho hakijasababisha urafiki wetu, tunasaidiana sana naweza sema ananisaidia kuliko mimi nimsaidiavyo, ananipa kampani ya kutosha kila mazingira yakiruhusu.kiukweli ni rafiki yangu ambaye yupo moyoni naweza sema .


Last wiki katika kuchat akatuma message , nimekumis mpenzi wangu nowadays majukum ya familia yanatubana ila tujitahidi tukipata nafasi tuonane. Utaniambia mda wako.on ma way home.
mkewe anafaham uwepo wangu kama rafiki wa mmewe bt i wonder y imemuumiza kipindi hiki amemwambia mme wake basi awe anakuja kwangu daily kwake basia ye atatafuta atakayemthamini.
Niwarudishe nyuma kuna kipindi alinipigia simu akaniambia dada natamani mme wangu angenipenda kama anavyokupenda wewe, kiukweli naumia natamani anielewe uhusiano wangu na mmewe ukoje ila pia upande wa pili nahisi ni mkosaji.


Sasa ugomvi kwao umekua siku ya tano sasa, mme wake kaniomba nifanye juu chini nimtafute mkewe nimwambie juu ya hilo atusamehe. Nimeamua kumfuta huyu frend with benefit kichwani mwangu ingawa pia itanichukua mda kukubaliana na ukweli.


Naomba mawazo nifanyaje bi dada aweze kutusamehe na kurudisha moyo kwa mmewe.

As a grown up person,ulipaswa kuelewa mapema kuwa urafiki wako na huyo bwana haukubaliki katika mazingira ya kiafrika. My advice,let her know the whole truth and thereafter stop ur habit,
 
ma dr nimeumia kumuumiza kwa hisia ilhali cjafanya lile analolifikiria kwa mmewe, naumia tena natafuta how to reconcile amenichukia hataki kuonana na mimi,

Nafikiri kwa muktadha huu kufanya lile inaweza isiwe tatizo lakini mke wa jamaa anajisikia kuna jambo anashindwa kumtimizia mumewe ( sio tendo la ndoa) lakini kitu kingine ambacho anapata kwako na hilo linaweza kuuma zaidi.

Kama inawezekana kaeni wote wanne (na mumeo) maana umesema anajua labda mnaweza zungumza kitu kitakachojenga na kurudisha amani ya huyo dada.
 
urafiki kati ya mwanamme na mwanamke unaishia endapo mmoja wao atakapooa, kitakachoendelea apo ni kukumbukana tu kwa sababu ukiolewa au kuoa unakua limited. ushauri wangu umfate uyo bidada amsamehe mumewe halafu wewe na uyo rafiki yako iwe mwisho wenu apo kuongea na mkikutana njiani msalimiane kila mtu asepe zake
kama mlikua mnapendana si muongeoana tu (natania tu bi Suprise )
 
Last edited by a moderator:
Unasaidiana kitu gani bana na mume wa mtu? Kama una mume kweli(jambo ambalo sidhani) basi ana matatizo, hakuna mwanaume anayeweza kuvumilia huo ujinga!
Kwani hayo matatizo yako asiyamalize mumeo? Hivi unajua maana ya ndoa wewe? Usitake kutuchanganya hapa, mimi nikikutana na mwanamke kama wewe nakupa talaka fasta mkasaidiane vizuri na huyo bwana.
 
Natamani niachane na hawa watu ila kiukweli nashindwa, nahitaji ushauri hasa wa mwana saikolojia aliyebobea, sipendi kuumiza wanawake wenzangu lakini hawanielewi,nami siwalaumu nakiri nakosea kwa sababu mume anauma jamani.

Ni hivi sijui hata nianzie wapi ila nahisi nimemuumiza mwanamke mwenzangu kwa hisia .nasema kwa hisia sababu cjafanya kila anachonihisi nimefanya kwa mmewe sema tu ushahidi haujatosha kua upande wangu.

Nimezoea kuwaita frends with benefit, sasa mmoja wa hao friends zangu ameoa, nimezoeana nae kupita kiasi inshort i feel happy being with him(naomba niweke kwenye mabano sijashiriki nae since nijuane nae coz hicho hakijasababisha urafiki wetu, tunasaidiana sana naweza sema ananisaidia kuliko mimi nimsaidiavyo, ananipa kampani ya kutosha kila mazingira yakiruhusu.

Kiukweli ni rafiki yangu ambaye yupo moyoni naweza sema .

Last wiki katika kuchat akatuma message, nimekumis mpenzi wangu nowadays majukum ya familia yanatubana ila tujitahidi tukipata nafasi tuonane. Utaniambia mda wako.on ma way home.

mkewe anafaham uwepo wangu kama rafiki wa mmewe bt i wonder y imemuumiza kipindi hiki amemwambia mme wake basi awe anakuja kwangu daily kwake basia ye atatafuta atakayemthamini.

Niwarudishe nyuma kuna kipindi alinipigia simu akaniambia dada natamani mme wangu angenipenda kama anavyokupenda wewe, kiukweli naumia natamani anielewe uhusiano wangu na mmewe ukoje ila pia upande wa pili nahisi ni mkosaji.


Sasa ugomvi kwao umekua siku ya tano sasa, mme wake kaniomba nifanye juu chini nimtafute mkewe nimwambie juu ya hilo atusamehe. Nimeamua kumfuta huyu frend with benefit kichwani mwangu ingawa pia itanichukua mda kukubaliana na ukweli.


Naomba mawazo nifanyaje bi dada aweze kutusamehe na kurudisha moyo kwa mmewe.

mmmmmhhh Fnya umwmbie ukwl aisee
 
Samahani, wewe una mme/mpenzi?. Kwa mazingira hayo vaa viatu vya huyo mkewe then ujitathmini.
 
Natamani niachane na hawa watu ila kiukweli nashindwa, nahitaji ushauri hasa wa mwana saikolojia aliyebobea, sipendi kuumiza wanawake wenzangu lakini hawanielewi,nami siwalaumu nakiri nakosea kwa sababu mume anauma jamani.

Ni hivi sijui hata nianzie wapi ila nahisi nimemuumiza mwanamke mwenzangu kwa hisia .nasema kwa hisia sababu cjafanya kila anachonihisi nimefanya kwa mmewe sema tu ushahidi haujatosha kua upande wangu.

Nimezoea kuwaita frends with benefit, sasa mmoja wa hao friends zangu ameoa, nimezoeana nae kupita kiasi inshort i feel happy being with him(naomba niweke kwenye mabano sijashiriki nae since nijuane nae coz hicho hakijasababisha urafiki wetu, tunasaidiana sana naweza sema ananisaidia kuliko mimi nimsaidiavyo, ananipa kampani ya kutosha kila mazingira yakiruhusu.

Kiukweli ni rafiki yangu ambaye yupo moyoni naweza sema .

Last wiki katika kuchat akatuma message, nimekumis mpenzi wangu nowadays majukum ya familia yanatubana ila tujitahidi tukipata nafasi tuonane. Utaniambia mda wako.on ma way home.

mkewe anafaham uwepo wangu kama rafiki wa mmewe bt i wonder y imemuumiza kipindi hiki amemwambia mme wake basi awe anakuja kwangu daily kwake basia ye atatafuta atakayemthamini.

Niwarudishe nyuma kuna kipindi alinipigia simu akaniambia dada natamani mme wangu angenipenda kama anavyokupenda wewe, kiukweli naumia natamani anielewe uhusiano wangu na mmewe ukoje ila pia upande wa pili nahisi ni mkosaji.


Sasa ugomvi kwao umekua siku ya tano sasa, mme wake kaniomba nifanye juu chini nimtafute mkewe nimwambie juu ya hilo atusamehe. Nimeamua kumfuta huyu frend with benefit kichwani mwangu ingawa pia itanichukua mda kukubaliana na ukweli.


Naomba mawazo nifanyaje bi dada aweze kutusamehe na kurudisha moyo kwa mmewe.

Ngumu sana hiyo kwa huyo mdada kuelewa. Wanasema kuwa na urafiki na mwanamke ni sawa tu na kufuga kuku kama Pet, kuna siku utaskia njaa utamla.
 
acha kugandana na mume wa watu, utamwagiwa maharage ya moto usono.......ohoo......
 
Huo mtihani.
Chakufanya kwakuwa unasema mmeo ana-endorse huo urafiki wako wewe na mme wa mtu.
Pengine, Mchukue mumeo nenda nyumbani kwa huyo bi. dada akiwepo mume wake ambae ndie rafiki yako wewe.
Na mmeo awe ndie mzungumzaji mkuu kujaribu kumuelewesha huyo mke wa rafiki yako kuwa hata kwake (Mmeo)
ilikuwa ngumu kuukubali huo urafiki wenu nyie wawili (mkewe yeye yani wewe na Mumewe , Mume wa huyo dada)
Lakini, baada ya kuchunguza na kufanya utafiti wa kutosha amegundua kweli kuwa ninyi ni marafiki tu na pengine hapo sasa yawezakuwa mwanzo wa urafiki wa kifamilia.
ANGALIZO: Isiwe sasa lakini ikawa ndio kawaida yako wewe kuwa na marafiki wanaume tena wenye ndoa zao
-Angalia sana inaleta ukakasi.
 
Utazoeanaje na mume wa mtu kupita kiasi?? Halafu nawe umeolewa kama unavyosema.
 
Samahan mleta uzi. Ulisema huyo mume wa mtu amekuingia sana moyoni ama sijasoma vzuri pale juu?? Tuanzie hapo kwanza
 
Ila nahisi ashagegedwa huyu. Hawezi kusema alishamuweka moyoni sana mume wa mtu.
 
Hakunaga urafiki kati ya mwanaume na mwanamke, sijui kwa nini watu wanashindwa kuelewa hili.
Cha kufanya mpotezee huyo mwanaume utamsahau tu kila la kheri mwanzo mgumu
 
just end the relationship with that dude & try to forget him for good,always what goes around comes around.
 
aina nyingine za urafiki inakua shida kuzielewa
 
Back
Top Bottom