Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
Baadhi ya Wana JF waliokutana katika Ibada ya Kumwombea Marehemu Mh. Regia Mtema Kanisa katoliki Segerea. Wana JF hawa wanapendekeza kuwa ipangwe siku maalumu hivi karibuni ambayo wana JF na Wadau mbalimbali watakutana British Council na kujadili yale yote aliyosimamia Regia na nini cha kuiga toka kwake na kufanya ikiwa ni njia mojawapo ya JF kumuenzi marehemu Mh. Regia Mtema. Tunapendekeza kuwa tukutane British Council siku ya Ijumaa Tarehe 27-01-2012 kuanzia saa 11jioni hadi saa 2 Usiku. Vinywaji na light foods vitakuwepo.
Pia tutafanya maarifa kuwepo na Skype Conferencing ili waliopo nje ya Nchi watakaopenda kushiriki wafanye hivyo. Kwa kila anayeweza kuchangia kufanikisha Mkutano huu anaombwa awasiliane na Maxence.
Kushiriki kwa Skype: Add the following ID: jamiiforums
Updates:
Waliothibitisha kushiriki kwa kuhudhuria British Council ni:
1. Sanctus Mtsimbe
2. Maxence Melo
3. Josephine Mshumbusi
4. The Finest
5. Jason Bourne
6. Feis Buku
7. MwanajamiiOne
8. Mani
9. Pasco
10. JF Marketer
11. Twinky
12. El toro
13. LD
14. MwaJ
15. Petu Hapa
16. Marhaba
17. Gerrard
18. Jiwe la Ukara
19. Usininukuu
20. Mchaga 25
21. Mkono
22. Froida
23. Mabagala
Waliothibitisha kushiriki kwa nja ya Skype Video/Voice Conference ni:
1. Nyani Ngabu - skype
2. AfroDenzi - Skype
3. Mrembo by Nature - Skype
4. Pretty - Skype
5. Lizzy - Skype
6. Duduwasha - Skype
7. StraaKasyembe - Skype
8. Mbimbinho - Skype
9. Clemy - Skype
10. Ritz - Skype
11. Barubaru - Skype
12. Mkatofa - Skype
13. Smilling Saint - Skype
14. Tiba - Sype
15. Zion Daughter - Skype
16. Gango2 - Skype
17. Yo Yo - Skype
18. Mbimbinho - Skype
19. Mwanakijiji - Skype
20. Peter Rabachi - Skype