Sanctus Mtsimbe
R I P
- Jul 14, 2008
- 1,820
- 1,031
- Thread starter
- #41
Nitumie account yenu nifanye transfer ya cash online......au ndo ile ile ya Max alotoa jana??
YES my dear, ndo hiyo hiyo.
Skype ID tumia: jamiiforums
Nitumie account yenu nifanye transfer ya cash online......au ndo ile ile ya Max alotoa jana??
ThanksYES my dear, ndo hiyo hiyo.
Skype ID tumia: jamiiforums
Thanks
.....Na mimi nitakuwepo, nitashiriki kwa skype.
Mimi pia nitahudhuria panapo maajaliwa!!!!
Swali. . .
Watakaohudhuria mkutano watajitambulisha kwa majina yao haswa au ID za JF?
Nitakuwepo physically pale British Council!!! Mchango nitamtumia MaxAsante Gerry
Mchango kwa Maxe.
Utashiriki vipi Mkuu?
Vipi kuhusu usalama wa ID zetu pale British council? Tusije angukia mikononi mwao then Jf ikawa na fikra za kidumu chama. I ll attend via skype.
Muhimu sana, tupate ufafanuzi!!! Vinginevyo mimi nitajitambulisha kama Ritz au Malaria SuguSwali. . .
Watakaohudhuria mkutano watajitambulisha kwa majina yao haswa au ID za JF?
Swali. . .
Watakaohudhuria mkutano watajitambulisha kwa majina yao haswa au ID za JF?
Nitakuwepo physically pale British Council!!! Mchango nitamtumia Max
Muhimu sana, tupate ufafanuzi!!! Vinginevyo mimi nitajitambulisha kama Ritz au Malaria Sugu
Muhimu sana, tupate ufafanuzi!!! Vinginevyo mimi nitajitambulisha kama Ritz au Malaria Sugu
Rejao hajachangia Kitu humu na nilimuona online oi sijui kahofia nini! ningependa ili wahudhuriaji wawe wengi ndani watu wasiingie na Camera wala simu za Camera mwendo uwe Simu za Vitochi tu Unaweza ukakutana na Makamanda mwishoni ukasikia tu User flan wa id ile hajaonekana tokea siku ile...
Au pengine tuje na id zingine clean! ya skype imekaa fresh lakini unakuwa huru flan
Heheheehe. . . alafu ukute unaejitambulisha kwake ndie Ritz au MS wa ukweli.