Huwezi kuutoa uswahili ndani ya mswahili. Mie nakufagilia hivyo hivyo lakini.
Bhange oyeeee.
Mbona nature yuko fcbk anajibu vizuri msg za watu sidhani kama kalewa mpaka ashindwe kujitambua,
Was it bangi or pombe? This is so unprofessional!
mtangazaji wa east Africa alimualika juma nature na tunda man kwenye show
juma nature alitokea akiwa na undershirt na kandambili, mbaya zaidi akiwa 'high' vibaya
sam misago akalazimika kuomba radhi watazamaji na kusitisha interview
Kwani hawezi kujibiwa na mtu? Interview ndiyo huwezi kufanyiwa na mtu mwingine.Mbona nature yuko fcbk anajibu vizuri msg za watu sidhani kama kalewa mpaka ashindwe kujitambua,
Mweh.u...wewe.Atakuwa alitoka kwny mkutano wa chama cha magaidi
Was it bangi or pombe? This is so unprofessional!
kwahiyo waswahili ndo wanakunywa pombe,au unamaanisha nini?Huwezi kuutoa uswahili ndani ya mswahili. Mie nakufagilia hivyo hivyo lakini.
Bhange oyeeee.
kwahiyo waswahili ndo wanakunywa pombe,au unamaanisha nini?
kwahiyo kufakamia ubwabwa ndo kukosa selfcontrol huh?.na kukosa selfcontrol ndo uswahili..ok.Namaanisha uswahili ni tabia ya kukosa self control (inaanzia kwenye kufakamia ubwabwa kwenye sherehe na kufanya takeaway kwa wayu). Kama msanii alipaswa ajue ana serious interview. Wastaarabu wanakunywa pombe tilatila ila wanajua wapi pa kulewa na saa ya kazi ni kazi.