...hahahahaha..Familia ya vipaji hii...Hahahahaaa kweli nimewakubali sana aisee duh
Namwona Mtu Chake anakung'uta vyombo mbaya Lol wewe sijui ndio unayeimba mh
Kaazi kwelikweli
..wewe ukuje tu....twaweza kupa ComplymentaryNtakujuja kuwaona
Hawajui sisi huwa tunashuka verse mpaka hata tukiwa kwenye majamboz??
Ngoja nimalizie dia...naona wanataka kutukata stim.
Hahahaha!unajua hawa vijana hawajui hata ce enzi zetu tulitisha,alafu mistari lzm iendane na maudhui hahaha!niko kidoa zaidi,wapi papa Rejao mme wangu nampa cha awamu ya pili lol!
Hawajui sisi huwa tunashuka verse mpaka hata tukiwa kwenye majamboz??
Ngoja nimalizie dia...naona wanataka kutukata stim.
Hawajui sisi huwa tunashuka verse mpaka hata tukiwa kwenye majamboz??
Ngoja nimalizie dia...naona wanataka kutukata stim.
Oyaa Canta utatufanya watu tutoroke ofisini tukimbilie cha breakfast home.
lol. Verse mpaka kwenye majamboz. Nyie wakareee!
Mmwaminifu,sie tumejiajiri tuko wote mda wote tunapeana kutwa mara 3 sasa mkituiga mtafukuzwa kazi,hata najifua kwa ajili ya kumpa mme wangu Rejao cha mchana lol!
My dia Amyner kumbe hukulijua hili!yan pale kwenye korac ndio unachia mauno huku ukiacha mirindimo ya vyombo vitupu lol!
Ukimwona nani basi tunong'oneze.
We lengo lako watu tupate concussion between legs nimekushtukia.
Naenda washroom. I'll be back.
hii shost nimeipenda! Ndo maana watu tunashangaa mbona ndoa zingine zinadumu..kumbe maujanja tu!
hahahaha!huwa wanawawekea sabun ya kipande au ni zile za maji za kunawia mikono?