Missile of the Nation
JF-Expert Member
- May 24, 2018
- 16,828
- 62,114
Huyu alikuwa shabiki namba moja wa jiwe, maslahi yalipoguswa akawa mbogo, sasa kapetiwapetiwa anadhani anapendwa sasa kama Bashite.
Wanamlia timing tu ajae katika anga zao wamnyooshe!. Muache ajipendekezependekeze tu kwa kudhani kuwa wamemsamehe!. Bado hajasamehewa!
Wanamlia timing tu ajae katika anga zao wamnyooshe!. Muache ajipendekezependekeze tu kwa kudhani kuwa wamemsamehe!. Bado hajasamehewa!