#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

#FreeMboweAndEstherMatiko... anyone?

Kwanini wanachama na wafuasi wa Chadema "wamemtelekeza" Mbowe na Esther Matiko angalau kwa mtandaoni, ambapo ilitarajiwa muda huu tukutane na hashtag kama #FreeMbowe au #FreeMboweAndEstherMatiko na vitu kama hivyo?

I'm not saying kuwa hizi hashtag zitaifanya mahakamani itoe dhamana wala haimaanishi kuwa Jiwe ataona aibu kuwanyanyasa wapinzani bila aibu. However, Sie tunaoamini kuwa "kukaa kimya ni ishara ya kuridhia jambo baya," tunadhani kelele ya aina yeyote ile dhidi ya jambo baya ni muhimu.

On the other hand, na hili linaweza kupelekea ninyeshewe mvua ya matusi, bado hainiingii akilini kuona Mbowe na Matiko walidiriki kukiuka masharti ya dhamana. Siwalaumu bali sote twafahamu kuwa the last thing Jiwe needed from them ni wao kumpa excuse ya kuwaweka ndani wanasiasa wa upinzani kwa muda mrefu kadri iwezekanavyo.

Wakati tunajua kuwa bado Jiwe angeweza kutumia excuse yoyote ile kuhakikisha japo kiongozi mmoja wa upinzani "anakula Krismasi akiwa jela," kitendo cha kina Mbowe kuvunja masharti ya dhamana - haijishi validity ya sababu zao - ni sawa na "mbuzi kufia kwa muuza supu."

Ni kitu kibaya kisichokubalika lakini unfortunately kipo na kinatokea. Anayedhani Jiwe ana limit ya kuuangamiza upinzani basi labda kalala usingizi fofofo. Mie ni miongoni mwa watu wanaohisi kuwa kuna uwezekano mkubwa kabisa kwa Jiwe kutumia kila mbinu kuhakikisha Bunge la 2020 linakuwa virtually la chama kimoja. Most of opposition MPs (watakuwa wamebaki wachache tu come 2020 after wengi wao kulazimika kuhamia CCM "kwa nguvu" au ili kulinda majimbo yao) watapoteza majimbo yao katika njia hizi hizi za kihalifu zinazotumiwa na Jiwe dhidi ya Upinzani.

Back to the major theme, je tutarajie #FreeMboweAndEstherMatiko hivi karibuni au ndio nobody gives a f*ck? (Pardon my French)
Njoo nyumbani kwanza, acha kelele ukiwa mbali.Katika medani za kivita,ili ushinde ni lazima kikosi cha ardhini kiwe imara.Sisi tulio nyumbani ndiyo askari wa ardhini.
 
Nafsi zinawasuta. Mmemtelekeza Mbowe kisa Membe. Yaleyale ya Dokta Slaa kwa Lowassa.

Halafu nyie matusi jadi yenu. Mlimtukana Dkt Slaa sembuse sie tunaowakumbusha tu kuhusu kadhia ya Mbowe na Matiko?
Sio lazima ukiwa na mawazo yanayofanana kwenye jambo fulani uwe kwenye kundi fulani. Sio sahihi kufikiri kila mtu lazima awe kijani au buluuu
 
Kwanini wanachama na wafuasi wa Chadema "wamemtelekeza" Mbowe na Esther Matiko angalau kwa mtandaoni, ambapo ilitarajiwa muda huu tukutane na hashtag kama #FreeMbowe au #FreeMboweAndEstherMatiko na vitu kama hivyo?

I'm not saying kuwa hizi hashtag zitaifanya mahakamani itoe dhamana wala haimaanishi kuwa Jiwe ataona aibu kuwanyanyasa wapinzani bila aibu. However, Sie tunaoamini kuwa "kukaa kimya ni ishara ya kuridhia jambo baya," tunadhani kelele ya aina yeyote ile dhidi ya jambo baya ni muhimu.

On the other hand, na hili linaweza kupelekea ninyeshewe mvua ya matusi, bado hainiingii akilini kuona Mbowe na Matiko walidiriki kukiuka masharti ya dhamana. Siwalaumu bali sote twafahamu kuwa the last thing Jiwe needed from them ni wao kumpa excuse ya kuwaweka ndani wanasiasa wa upinzani kwa muda mrefu kadri iwezekanavyo.

Wakati tunajua kuwa bado Jiwe angeweza kutumia excuse yoyote ile kuhakikisha japo kiongozi mmoja wa upinzani "anakula Krismasi akiwa jela," kitendo cha kina Mbowe kuvunja masharti ya dhamana - haijishi validity ya sababu zao - ni sawa na "mbuzi kufia kwa muuza supu."

Ni kitu kibaya kisichokubalika lakini unfortunately kipo na kinatokea. Anayedhani Jiwe ana limit ya kuuangamiza upinzani basi labda kalala usingizi fofofo. Mie ni miongoni mwa watu wanaohisi kuwa kuna uwezekano mkubwa kabisa kwa Jiwe kutumia kila mbinu kuhakikisha Bunge la 2020 linakuwa virtually la chama kimoja. Most of opposition MPs (watakuwa wamebaki wachache tu come 2020 after wengi wao kulazimika kuhamia CCM "kwa nguvu" au ili kulinda majimbo yao) watapoteza majimbo yao katika njia hizi hizi za kihalifu zinazotumiwa na Jiwe dhidi ya Upinzani.

Back to the major theme, je tutarajie #FreeMboweAndEstherMatiko hivi karibuni au ndio nobody gives a f*ck? (Pardon my French)
Hebu waache hao wanyama wa serengeti wanapumzika pia wako busy na mgombea wao Membe! Hujaiona hashtag yao ya #Kazinabata?!
 
Wewe ni mnafiki mkubwa!

Umeanza kujipendejeza kwa Jiwe kwa muda sasa na ndio maana hata Mange alikupa kubwa Instagram.

Kama maisha huko yamekushinda,kuwa mdebedwo utapeta hela.

Upinzani kwa mazingira ya sasa utajengwa na kupiganiwa na wenye moyo na si watu cheap kama nyie msio na misimamo.

Kama wewe kidume njoo upambane ukiwa humu nchini kama hao kina Mbowe na sio ukiwa umejifungia kwenye kachumba huko katika nchi za watu.
Kweli huyu nami simuelewi. Huyu ni nyoka, kuweni macho naye! Evarist Chahali rudi nyumbani upambane, upigwe risas kama Lisu. Usiwasakizie wenzako. Mazingira sasa ni magumu, DCM needs not produce dead heroes. CDM needs to be strategic and if possible not to lose life! Kama vipi, Evarist Chahali anzisha armed strugle kama ni rahisi kama unavyoandika! Si uko nje hutaguswa, lianzishe basi!
 
Mnafiki mkubwa ni nyie mbwa mliomtelekeza Mbowe. At least mie naweza kutoa excuse ya "najipendekeza kwa Jiwe kwa sababu ya njaa zangu." Do you have any excuse ya nyie kumtelekeza Mbowe na Matiko?
Mbwa ni wewe uliyekimbia kwenu, wanaume wako hapa, mara wako jela, mara wako polisi. Wewe uko huko unadoea vijisent vya kodi za watu. rudi hapa upate kichapo cha mbwa koko!
 
Kweli huyu nami smuelewi. Huyu ni nyoka, kuweni macho naye! Evarist Chahali rudi nyumbani upambane, uigwe risas kama Lisu. Usiwasakizie wenzako. Mazingira sasa ni magumu, DCM needs not produce dead heroes. CDM needs to be strategic and if possible not to lose life! Kama vipi, Evarist Chahali anzisha armed strugle kama ni rahisi kama unavyoandika! Si uko nje hutaguswa, lianzishe basi!
Tunakusubiri wewe ulianzishe ili tuku.....!!
 
Mbwa ni wewe uliyekimbia kwenu, wanaume wako hapa, mara wako jela, mara wako polisi. Wewe uko huko unadoea vijisent vya kodi za watu. rudi hapa upate kichapo cha mbwa koko!
Hahahaha leo unamdiss!!??
 
Siku hizi huyu Salary Slip amekuwa na hasira kweli kweli. Sio yule tena. Ukimgusa kidogo tu anakuangushia matusi mazito, ha ha ha.
Hasira alizonazo Salary Slip ndizo walizo nazo Watanzania kwa sasa. Zamani JK alisema ccm hawaaminiani hata mtu akienda chooni anabeba maji yake anaogopa sumu, sasa tuendako ccm mtawaogopa raia wa kawaida kiasi mkiondoka nyumbani kwenda kazini mnachukua familia nzima maana mnaweza kuta familia nzima imeshughulikiwa. Tunaelekea kwenye ukenge ukenge tuu!
Hivi mnajua huko kutegemea kwenu Polisi na ratio ya polisi na raia ikoje?
Shauri yenu, hamjifunzi Kwa Jirani?
 
Hasira alizonazo Salary Slip ndizo walizo nazo Watanzania kwa sasa. Zamani JK alisema ccm hawaaminiani hata mtu akienda chooni anabeba maji yake anaogopa sumu, sasa tuendako ccm mtawaogopa raia wa kawaida kiasi mkiondoka nyumbani kwenda kazini mnachukua familia nzima maana mnaweza kuta familia nzima imeshughulikiwa. Tunaelekea kwenye ukenge ukenge tuu!
Hivi mnajua huko kutegemea kwenu Polisi na ratio ya polisi na raia ikoje?
Shauri yenu, hamjifunzi Kwa Jirani?
huko ndiko tunakoelekea
 
Back
Top Bottom