Rolandi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 920
- 490
Nani kaweka taarifa Google? Hata hizo habari unazoniagiza zimewekwa na watu kama huyo jamaa aliekuja kijiweni kwetu au hata yeye labda amezipa Google.
Huko Google nilikuta wamesema hivi.
Herufi zipo 26 na namba zipo 10. Kama ifuatavyo.
a=1
b=2
c=3
d=4
e=5
f=6
g=7
h=8
I=9
j=10
k=11
l=12
m=13
n=14
o=15
p=16
q=17
r=18
s=19
t=20
u=21
v=22
w=23
x=24
y=25
z=26
1=27
2=28
3=29
4=30
5=31
6=32
7=33
8=34
9=35
0=36
Kwahiyo ukijumlisha 1+2+3+4+5+6+7+8+9+10+11+12+13+14+15+16+17+18+19+20+21+22+23+24+25+26+27+28+29+30+31+32+33+34+35+36=666.
Jaribu kujumlisha utapata 666. Kwahiyo hata hizo herufi na namba zilibuniwa na Freemason unaposoma au kutumia hizo namba zao na herufi unamuabudu shetani bila wewe kujijua.
Hata sheria zinasema kutokujua sheria sio utetezi wakuvunja sheria na hivyohivyo kutomjua shetani sio utetezi wakumuabudu.
Sasa je taarifa hizi ziliwekwa na nani?
Du unatisha mkuu. If you cant fight them join them!