Thinkyyy
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 548
- 71
Naanzisha uzi kesho wa historia yenu naombe uwepo wako..
fools discuss people not ideas
Naanzisha uzi kesho wa historia yenu naombe uwepo wako..
mimi masalia,mi msabato,mi pure SDA,mama hellen g white,umepanic,wasabato wengi,mmelishwa
hoja yako ni ipi?
unawajua freemasons?
fools discuss people not ideas
Habar za freemason ni zinawashika na kuwavuruga low minded people na wote walio interested kujua coz freemason hutoa taarifa ambazo wao hutaka watu wa nje wajue (hizi huwa ni nzuri tuu kwamba wao ni jamii ya kusaidiana kama zilivo jamii zingine duniani), wanaoingalia freemason from their own religion viewpoint lazima wawe negative juu yao kama tuu ilivo (islamic Vs christianity). Sasa wabaya zaid ni wale wa vijiwen siku hizi. Kwao kila kitu ni freemason, nguo, magari, majengo, mitandao, vyakula..yan kila kituuuuu. Juzi jamaa mmoja kweny daladala anasema jeshi letu, uhamiaji, polisi, magereza na serikali yetu ni free mason ndo mana nembo zao zina mwenge (torch) ambao kifreemason ni sign ya kingdom of light. Mi nkaeka earfon nkawasha mziki.
Mbona unaogopa....Njoo kesho nakukaribisha....Hakikisha umejipanga sawa sawa....Matusi hayahitajiki...
Habar za freemason ni zinawashika na kuwavuruga low minded people na wote walio interested kujua coz freemason hutoa taarifa ambazo wao hutaka watu wa nje wajue (hizi huwa ni nzuri tuu kwamba wao ni jamii ya kusaidiana kama zilivo jamii zingine duniani), wanaoingalia freemason from their own religion viewpoint lazima wawe negative juu yao kama tuu ilivo (islamic Vs christianity). Sasa wabaya zaid ni wale wa vijiwen siku hizi. Kwao kila kitu ni freemason, nguo, magari, majengo, mitandao, vyakula..yan kila kituuuuu. Juzi jamaa mmoja kweny daladala anasema jeshi letu, uhamiaji, polisi, magereza na serikali yetu ni free mason ndo mana nembo zao zina mwenge (torch) ambao kifreemason ni sign ya kingdom of light. Mi nkaeka earfon nkawasha mziki.
Mkuu inasikitisha...Hawa ndo kina Thinkyyy
Mkuu yan hata ilo draft ulikuwa unacheza asili yake ni freemason....ule mstari wa katkt (tunaitaga main road) nshawai sikia wanauita road to the light bearer (devil). inasikitisha sana
unawajua freemasons??
Ukweli ni kwamba huyo jamaa yenu ama ni mjinga au kawaona nyie wajinga! Hizo habari za kwenye vijiwe vya draft uwe unaziacha huko huko, ni za kupotezea wakati tu!
BTW kwa nini usi-google habari za masons ukajua historia yake from credible sources?
Mkuu yan hata ilo draft ulikuwa unacheza asili yake ni freemason....ule mstari wa katkt (tunaitaga main road) nshawai sikia wanauita road to the light bearer (devil). inasikitisha sana
fools discuss people not ideas
Hizo akili ya kuangalia/kuchunguza vimambo vidogo vidogo na kuvifanya habari za mujini..laiti akili hizohizo zingetumika kwenye nyanja nyingine za kimaendeleo leo hii Tanzania tungekuwa mbali hata tungetengeneza wenyewe ndege za kijeshi mithili ya B52
Jamaa unampa za uso, mpe po nimechekaje?