Wise1
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 209
- 144
vicarius filii deijamani naomba tujifunze kusoma biblia na kuitafakari kwa kadri ya kusudio la mwandishi, lugha iliyotumika, mazingira ya waandikiwa, tamaduni zao na sababu za kuandikiwa. Ukijua haya yote utajua namba 666 ilimuhusu nani.