Thinkyyy
JF-Expert Member
- Jun 5, 2014
- 548
- 71
Hoja kuhusu nini...??? Kuna hoja gani kwa mbumbumbu aliyeshindwa hata kujua kuwa tunatumia Mifumo miwili ya majira kusoma nyakati...??
Hata mtoto wa darasa la saba anaelewa hili....Kama unataka kuona hoja niliyotoa rudi page 1 utanisoma....
Ila kama akili yako imeshikwa na mafundisho ya mama White hutaelewa....
Siwezi kuwaacha Wasabato maana haya mambo wanayapenda sana....
Ukitaka kujua Wasabato hawako sawa kasome Hostoria yenu uanzie kina Miller na wenzake, Soma Millerites movement, soma kina Josrph Bates na wenzake njoo malizia na Mama White ndo utaona uozo na maono ya kuzimu ya Wasabato....
unajielewa??
freemasons na wasabato ni two different things
mada za usabato zimetokea wapi?
nani kakuambia mi msabato?
mada inasemaje?
uasama wako na dini zingine usinilete mimi
kama huwajui ka kimya