Aaron Arsenal
JF-Expert Member
- Jul 24, 2014
- 24,504
- 28,693
Niliwahi kueleza kuhusu familia 13 za siri duniani kutoka Freemason, ikiwepo familia ya Malkia. Wengi huwa wanabeza wakidai ni consiparacy theory tu, but haya mambo ni real, sio bla blaa.
Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.
Baada ya kifo cha Malkia Elizabeth, Freemason pale Uingereza walitoa tamko lifuatalo nitaliweka kwa lugha ya English na kutafsiri kwa nilivyojaaliwa.
Wanasema,
Cumbria Freemasons shared with us a statement from the United Grand Lodge of England. The statement read:
"It was with the greatest sadness that the United Grand Lodge of England learned of the death of Her Majesty Queen Elizabeth II, our longest serving British Sovereign.
"Queen Elizabeth’s father, His late Majesty King George VI and her consort, HRH The Duke of Edinburgh, were both Freemasons. Her cousin, HRH The Duke of Kent, has been Grand Master of the United Grand Lodge of England since 1967, and will be sending a message of condolence on behalf of all English Freemasons to His Majesty The King.
"Another of her cousins, HRH Prince Michael of Kent, has been Grand Master of the Grand Lodge of Mark Master Masons of England and Wales since 1982, and an announcement is being made from Mark Masons’ Hall.
"God Save The King."
Kwa tafsiri ya Kiswahili wanasema
Ilikuwa ni kwa huzuni kubwa kwamba United Grand Lodge ya Uingereza ilipopata habari kuhusu kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II, Mfalme wetu wa Uingereza aliyetumikia kwa muda mrefu zaidi.
"Baba yake Malkia Elizabeth, Marehemu Mfalme George VI na mke wake, HRH The Duke wa Edinburgh, wote walikuwa Freemasons. Binamu yake, HRH The Duke of Kent, amekuwa Grand Master wa United Grand Lodge ya Uingereza tangu 1967, na kutuma ujumbe wa rambirambi kwa niaba ya Freemasons wote wa Kiingereza kwa Mtukufu Mfalme.
"Mwingine wa binamu zake, HRH Prince Michael wa Kent, amekuwa Grand Master wa Grand Lodge ya Mark Master Masons wa Uingereza na Wales tangu 1982, na tangazo linafanywa kutoka kwa Mark Masons' Hall.
"Mungu Mwokoe Mfalme."
NOTE: Freemason wakisema "Mungu" sio "Mungu" unayemjua wewe wa mbinguni, ndiyo maana hata manabii wa uongo wanamtaja Yesu, lakini siyo Yesu yule Mnazareth,
Leo naishia hapa.
Wachunguzi wa dini ya Freemason wanasema kwamba familia ya Malkia ni familia mojawapo kati ya familia 13 za waumini wa Freemasons.
Baada ya kifo cha Malkia Elizabeth, Freemason pale Uingereza walitoa tamko lifuatalo nitaliweka kwa lugha ya English na kutafsiri kwa nilivyojaaliwa.
Wanasema,
Cumbria Freemasons shared with us a statement from the United Grand Lodge of England. The statement read:
"It was with the greatest sadness that the United Grand Lodge of England learned of the death of Her Majesty Queen Elizabeth II, our longest serving British Sovereign.
"Queen Elizabeth’s father, His late Majesty King George VI and her consort, HRH The Duke of Edinburgh, were both Freemasons. Her cousin, HRH The Duke of Kent, has been Grand Master of the United Grand Lodge of England since 1967, and will be sending a message of condolence on behalf of all English Freemasons to His Majesty The King.
"Another of her cousins, HRH Prince Michael of Kent, has been Grand Master of the Grand Lodge of Mark Master Masons of England and Wales since 1982, and an announcement is being made from Mark Masons’ Hall.
"God Save The King."
Kwa tafsiri ya Kiswahili wanasema
Ilikuwa ni kwa huzuni kubwa kwamba United Grand Lodge ya Uingereza ilipopata habari kuhusu kifo cha Mtukufu Malkia Elizabeth II, Mfalme wetu wa Uingereza aliyetumikia kwa muda mrefu zaidi.
"Baba yake Malkia Elizabeth, Marehemu Mfalme George VI na mke wake, HRH The Duke wa Edinburgh, wote walikuwa Freemasons. Binamu yake, HRH The Duke of Kent, amekuwa Grand Master wa United Grand Lodge ya Uingereza tangu 1967, na kutuma ujumbe wa rambirambi kwa niaba ya Freemasons wote wa Kiingereza kwa Mtukufu Mfalme.
"Mwingine wa binamu zake, HRH Prince Michael wa Kent, amekuwa Grand Master wa Grand Lodge ya Mark Master Masons wa Uingereza na Wales tangu 1982, na tangazo linafanywa kutoka kwa Mark Masons' Hall.
"Mungu Mwokoe Mfalme."
NOTE: Freemason wakisema "Mungu" sio "Mungu" unayemjua wewe wa mbinguni, ndiyo maana hata manabii wa uongo wanamtaja Yesu, lakini siyo Yesu yule Mnazareth,
Leo naishia hapa.