IGWE
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 9,460
- 7,372
Kitendo cha kwenda kujitangaza tuu kinatosha kuamini wao siyo freemason
Good argument to start with........
Kitendo cha kwenda kujitangaza tuu kinatosha kuamini wao siyo freemason
Huyu nsukuma na yule msukuma shibuda ni disgrace to the Sukumas!!
wamechanganyikiwa wanatafuta umaarufu au waganga wa kienyeji wanatafuta wateja
Kitendo cha kwenda kujitangaza tuu kinatosha kuamini wao siyo freemason
Well said da Black woman_ila sio kuwapuuza kwa yote,kuna haja ya kuwasikiliza then kuyafanyia kazi maneno wanayoyasema inaweza kuwa ya ukweli ndani yake.
Hahahahaa
Rose hata mimi ni frimasoni, njoo nikupe mbinu!!
Mission yao ninini hasa?
Wanasemaje kuhusu Kanumba?...walimuulia nini?