Usalama.Mbowe anaendesha kikao Mwanza, Lowasa yuko sijui Geita, Tundu lisu ndo hata habari hana yuko kwenye redio za Wazungu kumsema Raisi wetu, wakti huo huo B.Saanane amepotea kwa miezi 2 sasa, hili linawezekana vipi? Yaani Mbowe afanye kikao Mwanza kuongelea kuhusu Lowasa na siyo B.Saanene?
U are very hopeless..!!Acha uboya wewe kwani kwa hiyo kama Ben hajapoteza na Chadema ndio walizike tu wakae kimya, wanatoa wapi nguvu za kuendelea na mikutano yao ili hali mtu wao wa karibu kabisa hajulikani alipo
1.Bila kujali wanahusika au hapanaMbowe anaendesha kikao Mwanza, Lowasa yuko sijui Geita, Tundu lisu ndo hata habari hana yuko kwenye redio za Wazungu kumsema Raisi wetu, wakti huo huo B.Saanane amepotea kwa miezi 2 sasa, hili linawezekana vipi? Yaani Mbowe afanye kikao Mwanza kuongelea kuhusu Lowasa na siyo B.Saanane?
Ulitaka wapige matarumbeta,,?Acha uboya wewe kwani kwa hiyo kama Ben hajapoteza na Chadema ndio walizike tu wakae kimya, wanatoa wapi nguvu za kuendelea na mikutano yao ili hali mtu wao wa karibu kabisa hajulikani alipo
Thanks best kwa kumuona huyuKuna watu Mungu aliwaumba akasahau kuwawekea Ubongo
Mbowe anaendesha kikao Mwanza, Lowasa yuko sijui Geita, Tundu lisu ndo hata habari hana yuko kwenye redio za Wazungu kumsema Raisi wetu, wakti huo huo B.Saanane amepotea kwa miezi 2 sasa, hili linawezekana vipi? Yaani Mbowe afanye kikao Mwanza kuongelea kuhusu Lowasa na siyo B.Saanane?
Mbowe anaendesha kikao Mwanza, Lowasa yuko sijui Geita, Tundu lisu ndo hata habari hana yuko kwenye redio za Wazungu kumsema Raisi wetu, wakti huo huo B.Saanane amepotea kwa miezi 2 sasa, hili linawezekana vipi? Yaani Mbowe afanye kikao Mwanza kuongelea kuhusu Lowasa na siyo B.Saanane?
Kila kitu kina utaratibu na mikakati yake na sio watu kuwekeza katika ajenda moja. Ajenda ni nyingi zaidi ya moja na kila ajenda ina kipaumbele chake. Sio kukurupuka kama serekali ya sizonje ya matamko na kupisha kauli baina yao.Mbowe anaendesha kikao Mwanza, Lowasa yuko sijui Geita, Tundu lisu ndo hata habari hana yuko kwenye redio za Wazungu kumsema Raisi wetu, wakti huo huo B.Saanane amepotea kwa miezi 2 sasa, hili linawezekana vipi? Yaani Mbowe afanye kikao Mwanza kuongelea kuhusu Lowasa na siyo B.Saanane?
Haha ha, kafara? Umenikumbusha tetesi za mtu mmoja aliyekuwa anatoa kafara viungo vya jamaa zetu ili apate ubunge na uwaziri hadi mkewe akachukia
Imani za viungo vya jamaa zetu wala umasaini haipo ila maeneo Fulani ambayo wote twayajua. Aah ngoja tuache hayo!Duh! Lowasa huyo au nani? Huyo Mzee muacheni sasa apumzike mmezidi kumuandama!
Huyu ni lazima uondoe hiyo " 'ARE' ibaki 'WERE' ".Nyie si ndiyo mumemchukua msukule,
Mbona mnapenda kutetea tu, na ukiona utetezi mwingi kudefend chama ujue wanajua mambo yao yameharibikaKwani wapi ilitangazwa kwamba Ben amepotezwa na Chadema??
Kama huna hoja sio lazima kuanzisha thread hapa.