Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 57,243
- 90,303
Freeman Mbowe, Tundu Lissu akiwa ni mwenyekiti aliyerithi uenyekiti kutoka kwako ni jambo la hekima na busara kama bado uko pamoja na CHADEMA kwenda mahakamani kumpa moyo mrithi wako na kutambua ujasiri wake wa kuendeleza kauli mbiu iliyoanza kipindi chako ukiwa mwenyekiti ya "No Reforms No Election" ambayo kwa kiasi kikubwa imehusika yeye kutiwa nguvuni na gerezani mpaka sasa.
, sasa sio kikoba tena bali ni chama ya demokrasia na maendeleo.