mwakweya70
JF-Expert Member
- Feb 13, 2015
- 414
- 106
Ni lowasa nini maana ndo makini hadi aliwaingiza kingi
Unakivua nguo chama chako cha ccm maana unaonekana huko ccm ndio tabia yenu ukabila na umikoa kama siyo ukanda pole sana endelea kujidhalilishaArusha au kaskazini
Pia awe Mchaga
Sifa zote kulingana na vigezo vya DJ anazoNi lowasa nini maana ndo makini hadi aliwaingiza kingi
HeheheHatuna ukabila wa mikoa huku waulize ccm ndio sera yao
Mmetiwa upofu kiasi cha kuashindwa hata kufikiri.....wenye akili timamu kama Slaa na Lipumba waling'amua akili finyu ya Mbowe kiasi cha kukaribisha kinyesi chenye harufu kali sebuleni kulikokuwa na manukato hai....
Wajinga mmebaki sebuleni wajanja wametoka......kisha mwaendelea kubaki huku mkicheka ilhali miale ya harufu ikiwaingia vinywani
Nyumbu ni nyumbu tu....[emoji1] [emoji1]
Lowassa ndio MWENYE chamaNi lowasa nini maana ndo makini hadi aliwaingiza kingi
Nyumbu mara nyingi hawatumii akili.......pia ni wasahaulifu sana.
Hoja ya mpango wa maendeleo ya miaka mitano......iliilazimu serikali kwenda kuiandaa upya na kutengua kanuni, baada ya taa ya treni kuangaza na kugundua mapungufu makubwa katika kuileta kwake
Orodhesha uongozi wajuu wote CHAGA-DEMAUnakivua nguo chama chako cha ccm maana unaonekana huko ccm ndio tabia yenu ukabila na umikoa kama siyo ukanda pole sana endelea kujidhalilisha
Wewe endelea kujivua wewe na ccm yako nguo unachoreka tu hapa wenzako wameacha sifa zakijingaOrodhesha uongozi wajuu wote CHAGA-DEMA
WAPI WANATOKEA
Jamani mbona wanivunja mbavu! Kibatari cha chama?hahahhahahah...sio ninyi mnaaongozwa na Kibatari cha chama......Kamatochi ya treni vile....Yaani Jamaa ndiye Nuru ya Chama ...Kama Yesu vile
Hii ni akili au jipu?Aaah mbowe safari hii akichanga karata kinafiki atapinduliwa na katibu wake bora amweke mchaga mwenzie