Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

Kwani Magufuli alichaguliwa na nani??Au tuseme alipendekezwa na nani??Wanachama wote mlipendekeza Magufuli au Wachache walimpendekeza Magufuli??Sasa kama wachache walimpendekeza basi waachieni CDM waamue kwa namna yao pia.
Maswali ya kitoto
Shida kwelikweli
 
kwani kesho mbali.....uzuri wa Mijitu ya CCM mko so predictable
Tag me with any name.....i don't care......ukweli utabaki kuwa Slaa ( high percentage) na zitto ndio walioifikisha CDM hapa ilipo....si Mbowe wala mwivi wa umeme.
 
Tag me with any name.....i don't care......ukweli utabaki kuwa Slaa ( high percentage) na zitto ndio walioifikisha CDM hapa ilipo....si Mbowe wala mwivi wa umeme.

hahahahahahah....na unajisahaulisha nani ali wa recruit hao wote wawili

hahahahah...Mbowe is the Master of Tz Politics

Wengine hapo amewajengea nyumba

wengine hapo amewalaza kwake...kawapa hadi pocket money za chuoni.....hadi hela za matumizi ya kawaida

Yaani nimeamini Guys mko very low minded
 
Usije shangaa mtu mwenyewe ni MASHA...maana kwa kamanda wa anga lolote linawezekana....
 
hahahahahahah....na unajisahaulisha nani ali wa recruit hao wote wawili

hahahahah...Mbowe is the Master of Tz Politics

Wengine hapo amewajengea nyumba

wengine hapo amewalaza kwake...kawapa hadi pocket money za chuoni.....hadi hela za matumizi ya kawaida

Yaani nimeamini Guys mko very low minded
Haibadili ukweli kuwa hafuati katiba na yeye ni aina ya akina Mugabe, Museveni, na Kagame

Ayafanyayo ndio atakayoyafanya pindi akishika dola.....
 
Mnaohara damu ni nyie mlioacha Mbowe afikiri kwa niaba yenu.....

hahahhahahah...sio ninyi mnaaongozwa na Kibatari cha chama......Kamatochi ya treni vile....Yaani Jamaa ndiye Nuru ya Chama ...Kama Yesu vile
 
Haibadili ukweli kuwa hafuati katiba na yeye ni aina ya akina Mugabe, Museveni, na Kagame

Ayafanyayo ndio atakayoyafanya pindi akishika dola.....

hahahahahahahaha

Poleni sana....Huyu Mbowe ni kichwa hasa

He is street smart

Yaani ni Genious...Hamumuwezi

sisi CHADEMA tunampenda...Ajabu ninyi ndio mnawashwa masaaburi
 
IMG-20150122-WA0014-1.jpg
mimi ningemshauri mwenyekiti amteue tu huyu his superfriend toka watoto downtown back to back mtu wa watu na kijana anayechipukia kama hapa yuko na vijana wenzake,ataleta mtaji mkubwa sana wa wanachama vijana sababu vijana watafurahi kumsupport katibu mkuu ambaye ni kijana mwenzao.
 
hahahhahahah...sio ninyi mnaaongozwa na Kibatari cha chama......Kamatochi ya treni vile....Yaani Jamaa ndiye Nuru ya Chama ...Kama Yesu vile
Taa ya treni ni moja lakini mwanga wake ni mkubwa kuweza kuangaza sehemu yoyote.....

Tafsiri
Zitto yupo pekee lakini kishindo cha hoja zake huitetemesha serial I kiasi cha kurudi hata kutengeneza bill/ miswada upya kwa maendeleo ya nchi kwa ujumla
 
Back
Top Bottom