Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

Freeman Mbowe: Nawaletea Katibu Mkuu Makini

Tusubilie Tuone, isije kuwa kama Tambo za makocha wa TAIFA stars pindi wanapo elekea kukutana na Timu za Misiri ama Tunisia. Utasikia wakisema " Tumejipanga, hatuna majeruhi n.k.z na n.k.z " Mechi ikishachezwa na matokeo kupatikana utatamani kubadilisha Uraia wa nchi.!!!!!!
 
hahahahahahahaha

Poleni sana....Huyu Mbowe ni kichwa hasa

He is street smart

Yaani ni Genious...Hamumuwezi

sisi CHADEMA tunampenda...Ajabu ninyi ndio mnawashwa masaaburi
Mmetiwa upofu kiasi cha kuashindwa hata kufikiri.....wenye akili timamu kama Slaa na Lipumba waling'amua akili finyu ya Mbowe kiasi cha kukaribisha kinyesi chenye harufu kali sebuleni kulikokuwa na manukato hai....

Wajinga mmebaki sebuleni wajanja wametoka......kisha mwaendelea kubaki huku mkicheka ilhali miale ya harufu ikiwaingia vinywani

Nyumbu ni nyumbu tu....[emoji1] [emoji1]
 
Megeuka wapiga ramli
Hakuna mkuu tunajitahidi kubadhiri tu....lakini maombi na sala zetu ni kwa mwenyekiti atuletee jina lenye sifa na kukipeleka chama mbele....si unajua hata kabla ya mechi kunakuwa na mbwembwe za mashabiki.....take it easy....
 
Taa ya treni ni moja lakini mwanga wake ni mkubwa kuweza kuangaza sehemu yoyote.....

Tafsiri
Zitto yupo pekee lakini kishindo cha hoja zake huitetemesha serial I kiasi cha kurudi hata kutengeneza bill/ miswada upya kwa maendeleo ya nchi kwa ujumla

hahahahahhhhha

Hoja ipi imetetemesha serikali?

Ya kula Migebuka?
 
hahahahahhhhha

Hoja ipi imetetemesha serikali?

Ya kula Migebuka?
Nyumbu mara nyingi hawatumii akili.......pia ni wasahaulifu sana.

Hoja ya mpango wa maendeleo ya miaka mitano......iliilazimu serikali kwenda kuiandaa upya na kutengua kanuni, baada ya taa ya treni kuangaza na kugundua mapungufu makubwa katika kuileta kwake
 
Back
Top Bottom