Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,242
- 34,917
- Thread starter
- #181
Cheka tuu maana huna unachokijuaHahahahahaaaaaaa, nimecheka sana
Cheka tuu maana huna unachokijuaHahahahahaaaaaaa, nimecheka sana
Ndorobo we!!!Hata akiwa uozo, sikutegemea angesema naleta katibu uozo! Hata hivyo hii ni safu anaiandaa ya 2035, maana 2020 hawana chao na 2035 kama spidi itaendelea, mtu sahihi atakuwa Majaliwa.
Naona umekuwa TOILET PAPER siku hizi, wajanja wameshakutumia.Ndorobo we!!!
Unajifariji....eti JP ni timu Laigwani......huyo katibu wenu wa mfukoni hawezi mfikia Dr Slaa hata kwa kufikiri tuHahahahaha
Bado unameza Porojo za Dr Kibwetere
Yule anakula maisha Canada na fedha za kuhongwa....Na ndio maana hampati siri zetu kwa sababu kumbe ndiye alikuwa Informer wenu
This time around.....Hatutawapa Nafasi...JPM anawakamua kule...sisi tunawakamua huku
Tulivowaambia JP ni team Laigwan nadhani hamkuelewa
We kweli kabwela....zitto ndio alianzisha kisha lissu akaliungahahahahahha......acha weeeeee
Hio ni hoja ya Lissu na sio ya Huyo Ayatolaaaaa....acheni kudandia hoja...ndio maana mnalazimisha kupora hoja ya ESCROW kutoka kwa kafulila....wafu kabisa nyie
Dr Slaa yupo pande zipi
Braza....Tuliaaaa...hujui kituUnajifariji....eti JP ni timu Laigwani......huyo katibu wenu wa mfukoni hawezi mfikia Dr Slaa hata kwa kufikiri tu
Mkuu ma ccm wamehaha sasa na Uteuzi wa Katibu mkuuBraza....Tuliaaaa...hujui kitu
Hana mvuto tena wakisiasaDr Slaa yupo pande zipi
Usiwe mbashiriOK TUNAMSUBIRI ILA ASIWE SUMAYE
wewe ndio kabwela kabisa...kama mlitaka kuiiba ya ESCROW ndio mnataka kuiba na hiiWe kweli kabwela....zitto ndio alianzisha kisha lissu akaliunga
Kaskazini tu!Hamna kitu mwaka jana aliahidi kutuletea mgombea urais makini na wala sio kapi toka ccm...kufumba na kufumbua anatuletea lowassa huku sumaye na kingunge wakiwa wazungumzaji wakuu...afanye atakalo chama cha mkwewe.
Mkuu labda nosahihishe mimi siyo bavicha karibu Makao makuu utanikutaSiasa ya Tanzania raha. Uzi umeanzishwa na bavicha,ila wachangiaji wengi uv-CCM.