Mr Hero
JF-Expert Member
- Jun 11, 2015
- 5,540
- 7,464
kwani hakuna utaratibu wa nafasi ya aktibu mkuu kucukua fomu na kuomba kuchaguliwa?
au mimi ndio sijui utaratibu wa chama?
au ni utaratibu wa vyama vyote kuwa katibu mkuu anapendekwa na mwenyekiti wa chama?
sijajua utaratibu wa uongozi kwenye vyama vyetu jamani naomba kueleweshwa kwa hili kwa wajuzi wa mambo hayo
au mimi ndio sijui utaratibu wa chama?
au ni utaratibu wa vyama vyote kuwa katibu mkuu anapendekwa na mwenyekiti wa chama?
sijajua utaratibu wa uongozi kwenye vyama vyetu jamani naomba kueleweshwa kwa hili kwa wajuzi wa mambo hayo