Fisadi mbona hamkumfanya kitu huko alipotoka?Umakini wa Mbowe upo kwenye kilimo. Toka atuletee fisadi Lowassa mwaka jana namtilia mashaka sana.
Hapangiwi wakumchagua soma katibaMbowe hana budi kumchagua Marcus Albany.....
Huyu anaendana na siasa za matukio za Chadema
Hata akiwa uozo, sikutegemea angesema naleta katibu uozo! Hata hivyo hii ni safu anaiandaa ya 2035, maana 2020 hawana chao na 2035 kama spidi itaendelea, mtu sahihi atakuwa Majaliwa.
Yuko honeymoon ughaibuni huku roho ikimsutaDr Slaa yupo pande zipi
Katiba ilimtaka achague baada ya miezi mitatu, yeye akaisigina na kuchagua baada ya zaidi ya miezi mitatu.......Hapangiwi wakumchagua soma katiba
Yuko kwenye fungate na yule bibiDr Slaa yupo pande zipi
Dodoma vasco dagama ndio alifikiria kuliko nyie woteYaani akili za maukawa zimeganda mpaka Mbowe ndio awe anafikiri kwa niaba yenu wote...very sad
Yaani akili za maukawa zimeganda mpaka Mbowe ndio awe anafikiri kwa niaba yenu wote...very sad
Ndoto za fisi hizoMWENYE CHAMA LOWASSA KISHA FIKA
MWENYE CHAMA LOWASSA KISHA FIKA
Naona unaweweseka tu hapaJana ulikuwa hoi NA Viroba nikakupotezea
Naona NA Leo umeamkia Viroba sindio
Umeandika Ki CHAGA au!?
Kwamba nyie wanachama hamjaona nani wa kuwafaa kuwaongozeni mpaka mtu mmoja ndio aamue kuwaletea mtu makini kulingana na utashi wake, hiyo inaonesha ni kwa namna gani msivyojielewaWewe unawaza kwa niaba ya nani??
Acha kua mpumbavu wwUlitaka nisifie magaidi na watetea mafisadi
Wakati mwingine mue mnajua ku connect dots vizuri, mliwahi kusema Chadema ni chama cha Kikristo, bado napekua kwenye mafaili yangu nipate magaidi wa karne hi ambao ni Wakristo nione. Usiache pia kunipa msaada please wa kuniletea jina la GAIDI wa Kikristo kama unalo.Mnaeleweka sana mbona ugaidi ndio sera zenu au mmesahau kuwavisha vijana wenu miwani na mapanga kuweni makini safari hii ni magufuli sio jk
Hapa kazi tu....
Jibu ulicho ulizwaNdoto za fisi hizo
Ulicho kiongea hakihusianihapa jirani mwenye CCM amewasili yake kwenye msiba na watu kama kumi na zaidi hivi.Duh naona Mzee uenyekiti anataka kuufanya Urais pia