ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 43,045
- 49,728
Wasiojulikana wavunja, kuiba sadaka
Watu wasiojulikana wamevunja ofisi ya mhasibu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Nronga, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro na kuiba fedha zaidi ya Sh3 milioni za sadaka na Kompyuta mpakato yenye thamani ya Sh780, 000.
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo Januari 8, 2024, na uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea.
=========
My Take: Mbowe amekuwa Mbunge wa Jimbo Hilo Kwa miaka Mingi ,na Kwa Tabia za Utapeli za Chadema sishangai kilichotokea 😁😁
Watu wasiojulikana wamevunja ofisi ya mhasibu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania (KKKT) Usharika wa Nronga, Wilaya ya Hai mkoani Kilimanjaro na kuiba fedha zaidi ya Sh3 milioni za sadaka na Kompyuta mpakato yenye thamani ya Sh780, 000.
Kamanda wa Polisi mkoani Kilimanjaro, Simon Maigwa amethibitisha kutokea kwa tukio hilo Januari 8, 2024, na uchunguzi wa tukio hilo bado unaendelea.
=========
My Take: Mbowe amekuwa Mbunge wa Jimbo Hilo Kwa miaka Mingi ,na Kwa Tabia za Utapeli za Chadema sishangai kilichotokea 😁😁