Tangu hii dozi itolewe imewachanganya kabisa mmekuwa mkijiropokea hovyo.A bunch of loosers!
Maaskofu KKKT: Tunasikitishwa na matukio ya kupotezwa watu, kubanwa kwa Uhuru wa Mahakama, Bunge na Tume ya Uchaguzi...
Tangu hii dozi itolewe imewachanganya kabisa mmekuwa mkijiropokea hovyo.A bunch of loosers!
Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Mhe Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Waziri Mkuu Mstaafu,Mhe Edward Lowassa, leo Wameshiriki ibada ya Jumapili ya Matawi kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Azania Front Posta ya zamani jijini Dar es salaam.
View attachment 724632 View attachment 724633
View attachment 724634
sawa mkuuHapo ni kanisani mbele za Mungu unatakiwa kunyenyekea kwa heshima.
Watekaji leo ndio siku yao nzuri ya kupanga wiki hii wamteke nani wao hawana muda wa kwenda kanisani.Hivi Mbowe huwa anaenda kanisani???!!! Mmmmmh!!
Kwani hapo kaenda bar?Hivi Mbowe huwa anaenda kanisani???!!! Mmmmmh!!
Hivi mkuu wewe huwa ni reporter wa mbowe??.unataka kumtumia wasiojulikana?
Anaitwa mwanahabari huru hapa tu hsujaelewa ?Hivi mkuu wewe huwa ni reporter wa mbowe??.
Huo ni unyenyekevu Ibadani mkuumbona wanatia huruma
Pamoja na hayo kamanda ila habari za jamaa asilimia kubwa huwa ni kutoka kwa mbowe, ni kama vile huyu jamaa ni mbeba mikoba wa mbowe vile!Anaitwa mwanahabari huru hapa tu hsujaelewa ?
Sahihi kabisaNaomba kanisa lisitoe fursa kwa wanasiasa kuzungumza ibadani,wafanye ibada kama waumini wa kawaida tu!
Hii ibada ya DHATI kabisa,sio ileMwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Kiongozi wa Upinzani Bungeni na Mbunge wa Hai, Mhe Freeman Mbowe na Mjumbe wa Kamati Kuu ya CHADEMA na Waziri Mkuu Mstaafu, Mhe. Edward Lowassa, leo wameshiriki ibada ya Jumapili ya Matawi kwenye Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Azania Front Posta ya zamani jijini Dar es Salaam.
View attachment 724632 View attachment 724633
View attachment 724634
Mnataka iwe zamu yenu kila siku ili muendelee kuandikiana MoU?wanafanya siasa kama kawaida baada ya waraka wao kusomwa na maaskofu wao.... "ni zamu ya waluteli " hatujasahau
Alikuwa St Peter’ssijui leo swahiba wangu wa chato kasali wapi!au bado ana taffakari ule waraka,
What is it for?how savage you areCountry Lutherans[2]
Germany 11,787,811
Ethiopia 7,886,595
Tanzania 6,531,336
Sweden 6,300,000
Indonesia 6,046,321
Denmark 4,400,754
India 4,042,543
Finland 4,031,235
Norway 3,857,463
United States 3,765,362[c]
Madagascar 3,000,000
Nigeria 2,321,000
Netherlands 1,969,755
Nchi rafiki wakubwa wa CHADEMA ni GERMANY..connec dot