GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 63,006
- 126,388
Yote haya yanayoendelea sasa CHADEMA (hasa waliokuwa Viongozi Waandamizi na wale wa Kundi la G55) yana BARAKA zako kwa 100% na URATIBU wako kwa Kusaidiwa na Watu ambao WAMEKUTESA mno kwa Wao kukutumia na sasa KIMKAKATI zaidi umemua tena kuwa Kwao na wanakutumia katika hili.
Freeman Mbowe wenye Akili Kubwa (akina GENTAMYCINE) tunajua kuwa kuna Mambo makubwa Mawili yako nyuma ya hizi HARAKATI za MTIFUANO unaoendelea kwa sasa ndani ya CHADEMA ambayo uliijenga KITABAKA, KIUNAFIKI na KIUTEGEMEZI kwa Watu fulani fulani hasa Kimaslahi.
Freeman Mbowe tunajua kuwa yanayoendelea sasa ndani ya CHADEMA yana MKONO wako na kwamba kinachoenda kufanyika hapa ni ama hawa CHADEMA Wapuuzi WALIOJIUZURU na KUJITOA bila kusahau wale wa G55 ni kwamba ama tayari mmeshafika Bei hivyo mtahamia huko au mnajipanga kuanzisha Chama Chenu ili mtumike vizuri Kuwamaliza CHADEMA ya sasa ya Lissu na Heche na lengo la Wanaowatumia litimie na kama kawaida yao likishatimia baada ya kuwatumieni baadae wanabadilikia na mnaishia Kuteseka Magerezani, Kulaumu na Kujilaumu.
Hakika nimeamini ukifanya DILI na Mtu wa Mkoa wa Kilimanjaro kuwa nae Makini sana na kamwe usije hata Kumuamini.
Freeman Mbowe wenye Akili Kubwa (akina GENTAMYCINE) tunajua kuwa kuna Mambo makubwa Mawili yako nyuma ya hizi HARAKATI za MTIFUANO unaoendelea kwa sasa ndani ya CHADEMA ambayo uliijenga KITABAKA, KIUNAFIKI na KIUTEGEMEZI kwa Watu fulani fulani hasa Kimaslahi.
Freeman Mbowe tunajua kuwa yanayoendelea sasa ndani ya CHADEMA yana MKONO wako na kwamba kinachoenda kufanyika hapa ni ama hawa CHADEMA Wapuuzi WALIOJIUZURU na KUJITOA bila kusahau wale wa G55 ni kwamba ama tayari mmeshafika Bei hivyo mtahamia huko au mnajipanga kuanzisha Chama Chenu ili mtumike vizuri Kuwamaliza CHADEMA ya sasa ya Lissu na Heche na lengo la Wanaowatumia litimie na kama kawaida yao likishatimia baada ya kuwatumieni baadae wanabadilikia na mnaishia Kuteseka Magerezani, Kulaumu na Kujilaumu.
Hakika nimeamini ukifanya DILI na Mtu wa Mkoa wa Kilimanjaro kuwa nae Makini sana na kamwe usije hata Kumuamini.