Mwenyekiti wa Chadema Taifa, Freeman Mbowe amewasili Mkoani Tabora tayari kuanza vikao mfululizo vya kikazi kwa Kanda ya Magharibi (Katavi, Kigoma na Tabora).
Huu ni mwendelezo wa ziara ya maboresho ya kanda anayofanya kama sehemu ya maandalizi muhimu kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kesho asubuhi Jumamosi Mwenyekiti atafungua na kuendesha kikao cha Baraza la Uongozi wa Kanda kisha jioni kuanzia saa 9 atahutubia Mkutano wa Hadhara Mjini Tabora katika Uwanja wa Town School.
Huu ni mwendelezo wa ziara ya maboresho ya kanda anayofanya kama sehemu ya maandalizi muhimu kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba mwaka huu.
Kesho asubuhi Jumamosi Mwenyekiti atafungua na kuendesha kikao cha Baraza la Uongozi wa Kanda kisha jioni kuanzia saa 9 atahutubia Mkutano wa Hadhara Mjini Tabora katika Uwanja wa Town School.