Freeman Mbowe apata picha ya kipekee na Rais Samia

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
5,174
Reaction score
17,635
Mwenyekiti Mstaafu wa CHADEMA Freeman Mbowe amepata picha ya kipekee ya pamoja na Rais Samia Suluhu Hassan baada ya uzinduzi wa Dira 2050, uliyofanyika kwenye Kituo cha Mikutano cha Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma.


Your browser is not able to display this video.
 
Yuda wa zamani baada ya kumsaliti Yesu alienda akijuta hadi akaenda kujinyonga japo alirudisha vile vipande vya fedha... Huyu wa sasa ndio kwanza anatafuta nafasi walau apate rungu la kumsulubisha Lisu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…