Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,772
- 218,393
- Thread starter
- #61
Kafata KVant za huko.Ameenda kula bata
AahaaaaaaMtu aliyepata ziro form six , akashindwa kujenga ofisi ya chama chake kwa miaka 30 atakuwa na uwezo wa kufanya ziara A. Kusini?
Acheni propaganda.
Tunamtakia Freeman Mbowe kila la kheri!Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ameondoka Tanzania leo kuelekea nchini Afrika ya Kusini kwa ziara ya Kikazi .
Taarifa kutoka kwenye Chama chake inaeleza kwamba , Mbowe ambaye ni Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia barani Africa (DUA) , Ataongoza vikao vitakavyoanza April 26 - April 30 Jijini Johanesburg .
Tunamtakia kila la heri .
🤣🤣🤣 au kasikia kuna mizinga ya asali kaenda kufakamiaKafata KVant za huko.
Huna tofauti na musibaMtu aliyepata ziro form six , akashindwa kujenga ofisi ya chama chake kwa miaka 30 atakuwa na uwezo wa kufanya ziara A. Kusini?
Acheni propaganda.
Naww ulipata zero?Akili zako ni finyu sana. Wewe unaamini elimu ya form six ndio elimu Bora?.
Ameenda tumbua ruzuku mkuu, na huyo mleta habari ndie kati ya chawa wakuu wa mwenyekiti wa maisha wa SACCOS.Mtu aliyepata ziro form six , akashindwa kujenga ofisi ya chama chake kwa miaka 30 atakuwa na uwezo wa kufanya ziara A. Kusini?
Acheni propaganda.
Muongo mkubwa Chadema kilikuwa chama enzi za akina Bob Makani,Mzee Ngwilulupi na mkwe wa Mbowe mwenyewe na pia enzi za akina Dr Slaa, Dr Kimesera, huyu Dj wa divisheni 0 hana lolote, Chadema kinazidi kuporomoka kila kukichwa.Tatizo umejifungia uvunguni mwa kitanda, na giza unayoiona uvunguni undhani hata walioko nje wanaiona. Amka toka gizani ili usichekwe na watu.
Halafu tujiulize Mbowe mwenye Division Zero Kama unavyodai bila ushahidi, ameweza kuongoza chadema kutoka kuwa Chama kidogo Cha kubezwa Hadi chama kikuu Cha upinzani ambacho kilisababisha serikali kuingiza bajeti ya kuanzisha kikundi Cha wasiojulikana ili kukishughulikia.
Kwi Kwi KwiMuongo mkubwa Chadema kilikuwa chama enzi za akina Bob Makani,Mzee Ngwilulupi na mkwe wa Mbowe mwenyewe na pia enzi za akina Dr Slaa, Dr Kimesera, huyu Dj wa divisheni 0 hana lolote, Chadema kinazidi kuporomoka kila kukichwa.
ziara ya kikazi au kuchungulia biashara zake? hiyo kikazi ni bythe way tu?Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe , ameondoka Tanzania leo kuelekea nchini Afrika ya Kusini kwa ziara ya Kikazi .
Taarifa kutoka kwenye Chama chake inaeleza kwamba , Mbowe ambaye ni Mwenyekiti mwenza wa Umoja wa Vyama vya Kidemokrasia barani Africa (DUA) , Ataongoza vikao vitakavyoanza April 26 - April 30 Jijini Johanesburg .
Tunamtakia kila la heri .
Hutaki unaachaziara ya kikazi au kuchungulia biashara zake? hiyo kikazi ni bythe way tu?
Hilo swali waulize mafisadi wa ccmNaww ulipata zero?